Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
<br />
<br />
Nitakununulia valuu kadhaa sawa dear??......
sawa dia, am waitn...
<br />
<br />
Nitakununulia valuu kadhaa sawa dear??......
<br />sawa dia, am waitn...
<br />Vipi jumamosi ya leoumemuona? Kuna harusi ya shemeji yangu, pombe kibao mwambie aje Msasani Beach Club jioni aukizie Nas atanipata nimpigishe mpaka asubuhi
<br />leak picha zake akilewa hapa next time atakunywa kwa mpango
<br />
<br />
Mmmmhh za maharusini sio tamu bana...
mwe!!!usiombe yakakukutan! nina experience kubwa ya jambo hilo! acha tuuuu ulevi nomaaaa,ntakujumlisha kwenye sala zangu mwayego!upunguze alcohol usijali dada
Jamani utaishije na mwanamke mwenzio? Au ndio zile mashine za kusaga na kukoboa nafaka?
Bujibuji said:Ni mwanamke msomi mwenye shahada ya sheria.
Anakunywa pombe mpaka
1 anapoteza ufahamu.
2 Anajikojolea popote na
3 hachagui neno la kutamka yaani tusi si tusi twende kazi.
Wazazi wake wamechoka, wameongea sana na wamepiga sana.
Je tumsaidieje mtu huyu?
&l;br /><br />
<br /><br />
<br />
Yaani wewe hivi unakunywa kinywaji gani vile???? Nidai chupa kadhaaaa umenifurahisha sana kuzima kuna raha yake.......
Duuh! hapa umechemsha boss! yaani kama alikuwa anakunywa akiolewa atakuwa anajimiminia sio kunywa!dawa mlengeshe.. kwa mwanaume awe na mpenzi kama hajaolewa... atatulia...! mapenzi ndio dawa kwa mwanamke lane:
<br />Ulevi nomaaa hata ungeuteteaje lakini haufai hasa pale unapozimika na wakakuzimikia wenzio ukatoka hapo unadai sijawahifanya hivi au vile!
kwani ukiolewa ndio hunywi?dawa mlengeshe.. kwa mwanaume awe na mpenzi kama hajaolewa... atatulia...! mapenzi ndio dawa kwa mwanamke lane:
<br />kwani ukiolewa ndio hunywi?