Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
Kila la kheri.
Life begins at forty
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom