selestei
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 243
- 60
- Thread starter
- #21
ni halali tu kwa kizazi hiki asife na hisia zake...
ajilipue na awe tayar kwa majibu yoyote
ila nashangaa huyu dada kashindwa kumtega jamaa kabisa looo
Dada hebu funguka kidogo angemtegaje na ilikuwa ndio mara ya kwanza kukutana naye??