Mwanamke kulia njaa kajitakia.

Iko ivi kama ww ni wakike unatafuta bahasha useme ila uache kudis wanawake na kama wakiume ww ni shoga maana uwezi tukana mama ako au shangazi yako dada ako kwa kauli za kijinga hivyo hizo jiumize nimefikaje hapo hapo nyinyi ndio wanaume mama zenu waliwazalia guest alafu mmekua ila kujua historia yako ya maisha leo unawakashfu wanawake mm upande wangu nakuona mjinga kwa kuanzia mada ya kijinga kama hii
 
Halafu we mtoa mada usifikiri wanawake wote wako kama hao ulio wapitia pitia jifunze kumuheshimu mwanamke kwani akitongozwa na msururu wa wanaume basi ndio lazima alale nao au awaombe pesa kweli wewe fikra zako bado finyu.
 
We jamaa ulitumia ID ya kike ilikutuchunguza wanaume ili IKUSAIDIE NINI

Maana nafikiria lengo lako hata silipatii picha

Lengo lako lilikua upige pesa za wanaume kwa kujifanya wakike au

Au ndo zile ajenda za siri za akina DAVID CAMEROON
Huyo atakua shosti
 
Ww usiwe kama hautiwi... kwani umetajiwa mama ako hapa.. acha watu tulonge tutakalo JF sio ya baba ako shombo ww..
 
Daahhhh kweli ID yako inasanifu wewe ni nani
 
Kwani ww mbuzi nani kamfata mwenzie? kama uliona mada ni ya kipuuzi we ungeendelea na maisha yako hakukuwa na haja ya kuja kutokwa povu huku?

Au unazai ID mpya ndo ujanja?
Ulipo toa mada nia yako watu waje kuchangia sasa wanawake wanakupa ukweli unakua mkali, kaa chini tulia upakwe mafuta kisha upakatwe chefuuuu ndio maana kicheche...
 
Inabidi wakiongwa wakujulishe kua Wame hongwa na wakitumia ziki Isha ina bidi wakujuze zime kwisha pia
 
sijawahi kulia njaa, silii njaa na sitolia njaa kwa kutegemea hela ya mwanaume, mtoa mada ungekuwa mwanamke sasa hivi ungekuwa umekufa na maradhi kwa tamaa zako za kupenda vya kupewa
Huyu angekuwa mwanamke angesha kufa na umalaya
 
Katoa mads alafu anakua mkaaali anatukana watu anataka watu wapite kimya mi namshangaa kashfa aliotoa anataka watu wakae kimya mpuuzi kweli huyu..
Umeona eeh! Nadhani wamemtenda mambo mabaya kachukia kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…