Niliwahi kusoma makala moja matata sana kwanin watu wanakua mashoga, moja ktk 7bu ni kua mwanamme kua na baadhi ya tabia za kike au kujifanyisha kua mwanamke na kuwapima wanaume, na ikiwa atajizuia asiingie kwenye ushoga bas sehemu ya generation ake mmoja ataingia ktk ushoga kwa kurith kutoka nyuma, chondechonde baba umri sio 7bu tatizo ni ladha, ushaonesha nia basi njia itapatikana
Mm co mwanamke ila mtoa mada anawakosea wanawake 90% co kila mwanamke anategemea kuishi kwa mizanga ya wanaume kipindi unajifanya mwanamke uliweka mazingira ya kuintantein wanaume ila kunawanake huko mtaani mpaka kumsalimia unajiuliza naanzia wapi na ww ungekuwa wakike ungekuwa muuza mwili stupid acha kudhalilisha dada zetu
Mngese ww unajua mama ako ni mwanamke unajua mpaka unazaliwa ww mama ako amehaso veepe labda umezaliwa nyuma ya soko baada ya hao wanaume unaona wanafaa leo kumkimbia mama ako achane ujinga heshimuni wanawake acheni ujinga maana bila mwanamke leo usingekuwa nyuma ya kibodi mm wakime ila ilove u my momy so much and dady