TGInnocent
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 1,088
- 583
Punguza jazba, chema chajiuza kibaya chajitembeza.Peleka chuki zako kuzimu huko. Sisi tunataka tuelimishe wenzetu wala si kutetea ushenzi.
Life matter et!
Umeona nifanyacho hakina maana basi we pita ivi.. Hakuna haja ya kuzozana na mm
We fala mm sio tapeli. Nimesema nilifanya hivi kwa makusudi maalumu tuu. Sijapiga hata senti ya mtu hpo. Halafu hela za hivi hazidumu madhara yake ni mabaya sana, kwanini ule jasho la mwenzio?
hapo kwenye red si kweli labda kama una chuki na mm ushapata gia.
Nipe sahihi basi.hakuna list ya hivyo
Naweza kusema naheshimu mawazo ya mtu ila we huna maana. Nakuacha tuuMkuu mbona mdomo wako unanuka mipasho sana
Hizi hua ni tabia za kike
ndomaana ulitumia Id ya kike kumbe uliona hiyo jinsia inakufaa
All in all wewe utakua na gene za watoto wa DAVID CAMEROON.
watatu hakuna anayezidisaha tatu .. over uache kujifanya mwanamkeNipe sahihi basi.
Unajichanganya sasa mkuu, mbona unashawishi wanawake wapate fedha za jinsi hiyo ambazo unajua hazidumu. Kitu kilicho kushawishi kuwa inawezekana wakapiga pesa ndefu si ni baada ya kuona umefanikisha isipokuwa ulipotakiwa uonekane ukaona kikwazo ni suruali. Nini lilikuwa lengo lako haswa!We fala mm sio tapeli. Nimesema nilifanya hivi kwa makusudi maalumu tuu. Sijapiga hata senti ya mtu hpo. Halafu hela za hivi hazidumu madhara yake ni mabaya sana, kwanini ule jasho la mwenzio?
hapo kwenye red si kweli labda kama una chuki na mm ushapata gia.
yamekugusa. Pole.Nilikuwa nakuona unaakili kumbe Hamna kitu, ulikuwa unaonekana unabusaraaa daa kweli Leo nimekushusha thamani
Lengo ni ushuhuda tuu wala hakuna asiejua wanawake ni watu wa aina gani.Unajichanganya sasa mkuu, mbona unashawishi wanawake wapate fedha za jinsi hiyo ambazo unajua hazidumu. Kitu kilicho kushawishi kuwa inawezekana wakapiga pesa ndefu si ni baada ya kuona umefanikisha isipokuwa ulipotakiwa uonekane ukaona kikwazo ni suruali. Nini lilikuwa lengo lako haswa!
Kwa vile kaongea ukweli???Jiwe gizaniNilikuwa nakuona unaakili kumbe Hamna kitu, ulikuwa unaonekana unabusaraaa daa kweli Leo nimekushusha thamani
Wanawake ni shida mkuu we waskie tuu.yamekugusa. Pole.
Jiwe gizani mamammmh
miss chagga mbona siku iz wanichunia sana au nimekukosea?watatu hakuna anayezidisaha tatu .. over uache kujifanya mwanamke
Yaani hali tete!Ni kweli, sasa kama huyu naona kujifanya mwanamke anachuma pesa za wanaume kwa hiyo anaona ikiwa yeye kafanikiwa kwa nini wanawake wenyewe wasiweze. Duuu dunia imekwisha mwanangu!
Mkuu mbona mdomo wako unanuka mipasho sana
Hizi hua ni tabia za kike
ndomaana ulitumia Id ya kike kumbe uliona hiyo jinsia inakufaa
All in all wewe utakua na gene za watoto wa DAVID CAMEROON.
Dady umemaliza, maybe alijua atasifiwa. Mtoto wa kiume kutamani kuwa mwanamke ni dalili mbaya sana. Achukue tu tahadhari mapema na sio kupanik na kutukana tukana hovyo.Unajichanganya sasa mkuu, mbona unashawishi wanawake wapate fedha za jinsi hiyo ambazo unajua hazidumu. Kitu kilicho kushawishi kuwa inawezekana wakapiga pesa ndefu si ni baada ya kuona umefanikisha isipokuwa ulipotakiwa uonekane ukaona kikwazo ni suruali. Nini lilikuwa lengo lako haswa!
Mimi ninajua wanawake wote ni malaya sema wanatofautiana tu
Hatuwezi kupita hivi maana hili linatuhusu wote, maana tukikuacha utakuja kutuharibia watoto wetu.Peleka chuki zako kuzimu huko. Sisi tunataka tuelimishe wenzetu wala si kutetea ushenzi.
Life matter et!
Umeona nifanyacho hakina maana basi we pita ivi.. Hakuna haja ya kuzozana na mm
Inategea ntu na ntuHivi zile quickies za ofisini zinakuwaga za free au huwa mnacharge hela??
Oooh, hapo basi nahisi kwa bosi itakuwazinatolewa 'free' ili kuendelea na kazi! Kwa wengine eidha nyege zimezidi au kuna kuongeza kipato!Inategea ntu na ntu