Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
HAbari za asubuhi wanaJF.
Leo nimetafakari sana kuhusu mwanamke kueleza hisia zake za mapenzi kwa mwanaume anaempenda. Ningependa maoni yenu na michango yenu juu ya hili kwani mimi binafsi sio tatizo mwanamke kuonyesha hisia zake za mapenzi juu ya mwanaume anaempenda.
Dhana na imani potofu kwa vijana wengi huamini kwamba mvulana ndiye anayewasilisha hisia za mapenzi kwa msichana ampendae,hivyo ikiwa msichana akimfuata mvulana na kumweleza jinsi anavyofeel vijana husema msichana huyo hajatulia.Tofauti na mitazamo hii ukweli ni kwamba msichana anahaki ya kumweleza mvulana hisia zake za kimapenzi(ilimradi wasiikaribie zinaa).Tukumbuke MTUME wetu alipendwa na mwanamke ambaye hadi akaamua kumpa MTUME WETU MUHAMMAD(S.A.W) pesa ya mahari ilimradi aje amuoe.Hii inatufudisha kwamba msichana kuelezea hisia za mapenzi kwa mvulana inaweza kujenga taswira ya mapenzi ya dhati na kuongeza uaminifu katika ndoa pindi watakapo funga ndoa.Huu ni mtazamo wangu jamani ntapenda kama mkinikosoa kwani hakuna binadamu asiyekosea ,kama nimekosea basi naomba mnisamehe kwa kunirekebisha.
Tahadhari.
Kama una maoni changia na sio kutoa kasfa kwa wanawake au dini isiyokuwa yako. Kama hupendi kutukaniwa au kudhihakiwa dada,mama,shangazi na binamu yako hali kadhalika usitukane na kudhihaki dada,mama na shangazi wa wenzako. Hali kadhalika kama unaona dini yako ni bora basi na mwenzio anaona yake bora pia.
Leo nimetafakari sana kuhusu mwanamke kueleza hisia zake za mapenzi kwa mwanaume anaempenda. Ningependa maoni yenu na michango yenu juu ya hili kwani mimi binafsi sio tatizo mwanamke kuonyesha hisia zake za mapenzi juu ya mwanaume anaempenda.
Dhana na imani potofu kwa vijana wengi huamini kwamba mvulana ndiye anayewasilisha hisia za mapenzi kwa msichana ampendae,hivyo ikiwa msichana akimfuata mvulana na kumweleza jinsi anavyofeel vijana husema msichana huyo hajatulia.Tofauti na mitazamo hii ukweli ni kwamba msichana anahaki ya kumweleza mvulana hisia zake za kimapenzi(ilimradi wasiikaribie zinaa).Tukumbuke MTUME wetu alipendwa na mwanamke ambaye hadi akaamua kumpa MTUME WETU MUHAMMAD(S.A.W) pesa ya mahari ilimradi aje amuoe.Hii inatufudisha kwamba msichana kuelezea hisia za mapenzi kwa mvulana inaweza kujenga taswira ya mapenzi ya dhati na kuongeza uaminifu katika ndoa pindi watakapo funga ndoa.Huu ni mtazamo wangu jamani ntapenda kama mkinikosoa kwani hakuna binadamu asiyekosea ,kama nimekosea basi naomba mnisamehe kwa kunirekebisha.
Tahadhari.
Kama una maoni changia na sio kutoa kasfa kwa wanawake au dini isiyokuwa yako. Kama hupendi kutukaniwa au kudhihakiwa dada,mama,shangazi na binamu yako hali kadhalika usitukane na kudhihaki dada,mama na shangazi wa wenzako. Hali kadhalika kama unaona dini yako ni bora basi na mwenzio anaona yake bora pia.