Mwanamke kueleza hisia zake za mapenzi maoni na mtazamo...

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
3,988
1,304
HAbari za asubuhi wanaJF.

Leo nimetafakari sana kuhusu mwanamke kueleza hisia zake za mapenzi kwa mwanaume anaempenda. Ningependa maoni yenu na michango yenu juu ya hili kwani mimi binafsi sio tatizo mwanamke kuonyesha hisia zake za mapenzi juu ya mwanaume anaempenda.

Dhana na imani potofu kwa vijana wengi huamini kwamba mvulana ndiye anayewasilisha hisia za mapenzi kwa msichana ampendae,hivyo ikiwa msichana akimfuata mvulana na kumweleza jinsi anavyofeel vijana husema msichana huyo hajatulia.Tofauti na mitazamo hii ukweli ni kwamba msichana anahaki ya kumweleza mvulana hisia zake za kimapenzi(ilimradi wasiikaribie zinaa).Tukumbuke MTUME wetu alipendwa na mwanamke ambaye hadi akaamua kumpa MTUME WETU MUHAMMAD(S.A.W) pesa ya mahari ilimradi aje amuoe.Hii inatufudisha kwamba msichana kuelezea hisia za mapenzi kwa mvulana inaweza kujenga taswira ya mapenzi ya dhati na kuongeza uaminifu katika ndoa pindi watakapo funga ndoa.Huu ni mtazamo wangu jamani ntapenda kama mkinikosoa kwani hakuna binadamu asiyekosea ,kama nimekosea basi naomba mnisamehe kwa kunirekebisha.

Tahadhari.

Kama una maoni changia na sio kutoa kasfa kwa wanawake au dini isiyokuwa yako. Kama hupendi kutukaniwa au kudhihakiwa dada,mama,shangazi na binamu yako hali kadhalika usitukane na kudhihaki dada,mama na shangazi wa wenzako. Hali kadhalika kama unaona dini yako ni bora basi na mwenzio anaona yake bora pia.
 
Wanawake wa siku wala sio waoga...
Akikukualika tu dina ujue umekwisha, ukija kutahamaki umesha kuwa mpenzi wake na anaanza kukupangia masharti yake
 
Wanawake wa siku wala sio waoga...
Akikukualika tu dina ujue umekwisha, ukija kutahamaki umesha kuwa mpenzi wake na anaanza kukupangia masharti yake

Umenichekesha sana nakumbuka kuna mdada mmoja mcheshi sana nilimtania nitakualika dinner siku moja akaniambia najua janja yako kwahiyo nialike dinner na breakfast lolz
 
Mie nimejionea mwenyewe hili! Kuna dada mmoja tena january hii alinipigia simu na kuniuliza nipo wapi, baada ya mimi kumwuliza yeye ni nani akataja jina lake na kuniomba kuonana na mimi. Nilimjulisha nilipo na alipokuja, alionyesha alikuwa anaona aibu sana kuniambia shida yake, lakini akaniomba aniambie kwa sms tukiwa tunapata soda, sms ilipo ingia kwenye simu yangu, akasema ananipenda sana tangu siku nyingi, ameshindwa kuvumilia na akaomba nimkubalie ombi lake na yeye siyo malaya! Nikamwambia anipe muda, na tangu siku hiyo, kila siku anapiga simu kuulizia jibu lake, anasema yupo tayari tukapime pamoja kama simwamini kiafya! Hivyo wasichana wa sasa wanauwezo wa kuweka hisia zao wazi kwa wawapendao!
 
Bado wapo wengine wanakuwa na soni wanahisi wakikuelezea utawaona mambo fulani

Hao ni wa bushi wewe acha kabisa vinaongea vitoto siku hizi tena vinaanza kijanja tu buti lako bomba kweli, oohh tshirt imekaa poa, ooo umenyoa vizuri kweli ukiongeza neno tu kwisha habari yako ushaingia line
 
Mie nimejionea mwenyewe hili! Kuna dada mmoja tena january hii alinipigia simu na kuniuliza nipo wapi, baada ya mimi kumwuliza yeye ni nani akataja jina lake na kuniomba kuonana na mimi. Nilimjulisha nilipo na alipokuja, alionyesha alikuwa anaona aibu sana kuniambia shida yake, lakini akaniomba aniambie kwa sms tukiwa tunapata soda, sms ilipo ingia kwenye simu yangu, akasema ananipenda sana tangu siku nyingi, ameshindwa kuvumilia na akaomba nimkubalie ombi lake na yeye siyo malaya! Nikamwambia anipe muda, na tangu siku hiyo, kila siku anapiga simu kuulizia jibu lake, anasema yupo tayari tukapime pamoja kama simwamini kiafya! Hivyo wasichana wa sasa wanauwezo wa kuweka hisia zao wazi kwa wawapendao!

Mpende akupendae mkapime muoane sio mpime halafu mzini..................
 
Hao ni wa bushi wewe acha kabisa vinaongea vitoto siku hizi tena vinaanza kijanja tu buti lako bomba kweli, oohh tshirt imekaa poa, ooo umenyoa vizuri kweli ukiongeza neno tu kwisha habari yako ushaingia line

Kina Rose, Preta, Shosti na Firstlady tunataka mchango wenu.................
 
mhh hii nayo yataka moyo,ila inategemea na mazingira unamoishi,kwa sehemu nyingine utaonekana kimeo ila kwingine poa tu.
 
HAbari za asubuhi wanaJF.

Leo nimetafakari sana kuhusu mwanamke kueleza hisia zake za mapenzi kwa mwanaume anaempenda. Ningependa maoni yenu na michango yenu juu ya hili kwani mimi binafsi sio tatizo mwanamke kuonyesha hisia zake za mapenzi juu ya mwanaume anaempenda.

Dhana na imani potofu kwa vijana wengi huamini kwamba mvulana ndiye anayewasilisha hisia za mapenzi kwa msichana ampendae,hivyo ikiwa msichana akimfuata mvulana na kumweleza jinsi anavyofeel vijana husema msichana huyo hajatulia.Tofauti na mitazamo hii ukweli ni kwamba msichana anahaki ya kumweleza mvulana hisia zake za kimapenzi(ilimradi wasiikaribie zinaa).Tukumbuke MTUME wetu alipendwa na mwanamke ambaye hadi akaamua kumpa MTUME WETU MUHAMMAD(S.A.W) pesa ya mahari ilimradi aje amuoe.Hii inatufudisha kwamba msichana kuelezea hisia za mapenzi kwa mvulana inaweza kujenga taswira ya mapenzi ya dhati na kuongeza uaminifu katika ndoa pindi watakapo funga ndoa.Huu ni mtazamo wangu jamani ntapenda kama mkinikosoa kwani hakuna binadamu asiyekosea ,kama nimekosea basi naomba mnisamehe kwa kunirekebisha.

Tahadhari.

Kama una maoni changia na sio kutoa kasfa kwa wanawake au dini isiyokuwa yako. Kama hupendi kutukaniwa au kudhihakiwa dada,mama,shangazi na binamu yako hali kadhalika usitukane na kudhihaki dada,mama na shangazi wa wenzako. Hali kadhalika kama unaona dini yako ni bora basi na mwenzio anaona yake bora pia.

NAKUPENDA.wil u mar me?
 
Mimi kumtokea mtu siwezi, na kwanza sijui kama nimewahi kumpenda mtu ambaye hajaniambia kuwa ananipenda. Ila kueleza feelings zangu kwa mpenzi wangu ni mara nyingi tu sababu naamini ana haki ya kujua feelings zangu kwake.
 
Kwenye movie labda! labda nionyeshe ishara sio kumtamkia

ahh wanaume wenyewwe awa?
NAKWAMBIA USO WA MBUZI PAAHH KAKA NAKUPENDA UNASEMAJE SASA?
NGONO APANA KM UNANIFILI TULIANZISHE APO BADAYE MPANGO KAMILI KM HAUNIFIL ATA KDG NAMBIE NISEPE ..UNASEMAJE?

dah lazima aende akawasimulie wenzake...nimekutana na mzimu km demu mwana umeniiimbisha ivi iv bila projecta kitu live...hahha hahh!
 
Mie nimejionea mwenyewe hili! Kuna dada mmoja tena january hii alinipigia simu na kuniuliza nipo wapi, baada ya mimi kumwuliza yeye ni nani akataja jina lake na kuniomba kuonana na mimi. Nilimjulisha nilipo na alipokuja, alionyesha alikuwa anaona aibu sana kuniambia shida yake, lakini akaniomba aniambie kwa sms tukiwa tunapata soda, sms ilipo ingia kwenye simu yangu, akasema ananipenda sana tangu siku nyingi, ameshindwa kuvumilia na akaomba nimkubalie ombi lake na yeye siyo malaya! Nikamwambia anipe muda, na tangu siku hiyo, kila siku anapiga simu kuulizia jibu lake, anasema yupo tayari tukapime pamoja kama simwamini kiafya! Hivyo wasichana wa sasa wanauwezo wa kuweka hisia zao wazi kwa wawapendao!

Dah.........I wish I was 17 again!
 
Mie nimejionea mwenyewe hili! Kuna dada mmoja tena january hii alinipigia simu na kuniuliza nipo wapi, baada ya mimi kumwuliza yeye ni nani akataja jina lake na kuniomba kuonana na mimi. Nilimjulisha nilipo na alipokuja, alionyesha alikuwa anaona aibu sana kuniambia shida yake, lakini akaniomba aniambie kwa sms tukiwa tunapata soda, sms ilipo ingia kwenye simu yangu, akasema ananipenda sana tangu siku nyingi, ameshindwa kuvumilia na akaomba nimkubalie ombi lake na yeye siyo malaya! Nikamwambia anipe muda, na tangu siku hiyo, kila siku anapiga simu kuulizia jibu lake, anasema yupo tayari tukapime pamoja kama simwamini kiafya! Hivyo wasichana wa sasa wanauwezo wa kuweka hisia zao wazi kwa wawapendao!

Mimi pia ishanitokea, dahhhha!!!!!, nikavuta pumzi nikaomba muda.....................
 
kweli sie hua waoga ila kupenda tunapenda kweli kama miye ninavyo mpenda mfungwa Ivu....a yani basitu

Hivi ulijuaje ukatoa hiii mzee? unajua umeniaidia ee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom