
sawa sawa....Iwe hivyo MKUU,hamia mbele!!
Huu ushauri niliopewa na best yangu ni wa kitaalam pia
Ushimen baba Dickson
Pacha wangu ni troublemaker
Ili kumpata pacha wako humu ni bure,cha msingi anza shobo tu na IDs za humu

🤭 duuh hiyo gharama kubwa sana.Kujisifia kifuani kwa nyakat hiz ni kupitwa na nyakat,wengi macho yetu yapo Nyuma kwako km huna pita hiv
Sent from my iPhone using JamiiForums
Niwie radhi tafadhali, halikuwa lengo langu.Ndio
Ujasiri nimeukosa kwakweli, labda uniwezeshe upya.Ni vile mnanitafsiri tu humu,sina utata wowote....mie mchumba tu
Ndio sifa za siku hizi, inabidi tuvumiliane tu.fala wewe.
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo
Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Babu yako Asprin anajua kuwa ziwa lipo?Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo
Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo
Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Harrier tako la nyaniMwanamke kifua bwana!!kwangu Mimi ndivyo nionavyo, Msambwanda hata Nyani anao!! Msichana mwenye kifua chenye upana wa wastani, matiti yaliyovimba kiasi, awe mrefu au mfupi, mnene au mwembamba anavutia sana, si hayo tu, hata akibahatika kupata mtoto, bado kifua chake kitaonekana kuwa imara na baba na mwana watafurahia kwa kupokezana kubweda bila kero. Nashangaa ninapoona wavulana na mwanaume wenzangu wanaposhindana kulisifia kalio!! Mnatafuta nini huko!? Nyote mwajua nyuma sio kuzuri kwanini mnakuandama!?
Na wale kidada wanaotembea na kujitingisha nyuma lengo lenu ni nini hasa!!? Tukihamasika mtatupa, unamkuta mdada flat kabisa lakini kajibinua kama kapigwa jeki ili aonekane anakijungu, hamuoni hatari kulitangaza eneo hilo!?Tubadilikeni jamani, mbele ndio halali yetu na ndio nchi SALAMA, nyuma hatari hakufai. (Nb, Samahani sana kwa nitakao wakwaza)