Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Hii ni thread ya wanawake kamili!
Ngoja nione kama kuna atakayejitokeza hapa aseme yeye si kamili......
Woooote watajiita ni wanawake kamili lakini "wizi mtupu".........
Kwa kuongezea hapo kwa Mwanamke kamili...
1. Mwanamke kamili Hashei wanaume, anamiliki kikojoleo kimoja tu cha mwanaume na kukitumia ipasavyo
2. Mwanamke kamili "hamsumbui" hovyo mwanaume kamili anapokuwa anaburudika na bia na wanaume kamili wenzake
3.Mwanamke kamili hana wivu wa kijinga, ili mradi hajawahi kumfumania mwanaume wake, mme wake anabakia kuwa innocent
4. Mwanamke kamili akimfumania mme wake anamsamehe akijua fika kuwa mwanaume kamili hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja
5.Mwanamke kamili haangaiki kumchunguza mme wake wala kupekuapekua visivyomhusu kama simu nk
Shikamoo babu ODM,
Mie sijiiti bali ni Mwanamke kamili haswaaa!
Ila hilo nililobold halikubaliki kbs nikimfumania lzm anipe maelezo ya kueleweka na sio hayo sababu uloweka hapo.