Mwanamke kama huyu utamchukuliaje???

Mwanamke kama huyu utamchukuliaje???

NyotaWaMchezo

Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
38
Reaction score
5
Jana jioni nilikuwa nimekaa na rafiki yangu mmoja kwenye sehemu tulivu tunapata kinywaji huku tukiendelea na maongezi. Akanipa story ya girlfriend wake ambaye alikuwa na kawaida ya kufanya nae mapenzi kwenye guest moja maeneo ya ilala, juzi yule GF wake akakataa kwenda kwenye ile guest house kwa madai kwamba haina mazingira mazuri ndani kitu ambacho anakuwa hayuko comfortable awapo pale so akaomba jamaa atafute guest nyingine yenye mazingira mazuri yaani "self contained".

Jamaa akawa amepuuzia maneno ya GF yake, time ilipofika akampeleka kwenye guest ile ile ya siku zote, GF akagoma kuingia badala yake akamwambia jamaa twende huku, jamaa akamfuata demu akampeleka kwenye guest nyingine ambayo ilikuwa imejificha kidogo na ina mazingira yote ambayo alikuwa anamwambia jamaa atafute.

Sasa jamaa jamaa ana wasi wasi juu ya huyo demu alijuaje mazingira ya ile guest!!
 
Amuulize gf wake. Labda aliambiwa?
Na kama wana miaka inayo ruhusu mahusiano kama hayo
basi ni muda wa kutafuta makazi yenye mazingira yanayo ruhusu kufanya hivyo vitu home.
Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu...
 
uliwahi kumuuliza huyo jamaa(kama sio wewe) kama wote walikutana wakiwa ni "used"?
 
Labda madhari ya nje ya ile guest imemshawishi demu kuwa ipo safi hadi ndani, anyway man should keep their manship!
 
Hivi kuna umuhimu wowote wa kusimuliana mambo kama hayo kwa kigezo cha urafiki?me nilifikir ni wasichana na wavulana ndo wanahadithianaga,kumbe ata wanaume mmmmh!
 
Amuulize gf wake. Labda aliambiwa?
Na kama wana miaka inayo ruhusu mahusiano kama hayo
basi ni muda wa kutafuta makazi yenye mazingira yanayo ruhusu kufanya hivyo vitu home.
Unampelekaje gf guest jamani, kama changu? Nimesema tu...
Uzinzi ni uzinzi tu hakuna uzinzi wenye heshima.
 
Kwa hiyo unataka usaidiweje? Yaani mtu azini halafu ashangae mtu mwingine akizini na mzinzi mwenzie, maajabu hayataisha duniani!
 
Huwa zinaandakwa, Self contained Room, Air conditioned. So hakuna deal hapo. Zote zipo mabarabarani humu.
 
What goes around comes around. Kwani huyo jamaa aliwahi kuulizwa na huyo gf kwamba hiyo guest waliyokuwa wanapelekana aliijuaje?

Mzinzi wa kwanza (me) kachagua guest hakuna maswali, mzinzi wa pili (ke) kachagua maswali yanaanza.!!
 
Labda madhari ya nje ya ile guest imemshawishi demu kuwa ipo safi hadi ndani, anyway man should keep their manship!

kuna mzinzi mmoja wa kiume alipomuuliza mzinzi mwenzake wa kike kuhusu the best "guest house" nusura azimie. ke aliitaja gh moja na kuanza kusifia uzuri wa vyumba vyake na huduma zao. halafu akazitaja na gh zingine ambazo kwake ni mbaya. kila gh aliyoitaja akawa anaviponda vyumba vyake. sasa huyu kuonyeshwa guest house moja tu kachanganyikiwa! lazima waangamie kwa uzinzi wao!
 
What goes around comes around. Kwani huyo jamaa aliwahi kuulizwa na huyo gf kwamba hiyo guest waliyokuwa wanapelekana aliijuaje? Mzinzi wa kwanza (me) kachagua guest hakuna maswali, mzinzi wa pili (ke) kachagua maswali yanaanza.!!
as if ke hawana haki zakuzijua guest wakati zipo kwa ajili yetu sote lol
 
What goes around comes around. Kwani huyo jamaa aliwahi kuulizwa na huyo gf kwamba hiyo guest waliyokuwa wanapelekana aliijuaje?

Mzinzi wa kwanza (me) kachagua guest hakuna maswali, mzinzi wa pili (ke) kachagua maswali yanaanza.!!

mkuu, kitufe cha like sikioni. chukua hizo: like! like! like! like! like!
 
jamaa yako anazijua sema alikua anakwepa gharama, chumba 20,000/= short time Loooohh
 
Jana jioni nilikuwa nimekaa na rafiki yangu mmoja kwenye sehemu tulivu tunapata kinywaji huku tukiendelea na maongezi. Akanipa story ya girlfriend wake ambaye alikuwa na kawaida ya kufanya nae mapenzi kwenye guest moja maeneo ya ilala, juzi yule GF wake akakataa kwenda kwenye ile guest house kwa madai kwamba haina mazingira mazuri ndani ki2 ambacho anakuwa hayuko comfortable awapo pale so akaomba jamaa atafute guest nyingine yenye mazingira mazuri yaani "self contained". Jamaa akawa amepuuzia maneno ya GF yake, time ilipofika akampeleka kwenye guest ile ile ya siku zote, GF akagoma kuingia badala yake akamwambia jamaa twende huku, jamaa akamfuata demu akampeleka kwenye guest nyingine ambayo ilikuwa imejificha kidogo na ina mazingira yote ambayo alikuwa anamwambia jamaa atafute. Sasa jamaa jamaa ana wasi wasi juu ya huyo demu alijuaje mazingira ya ile guest!!

Jamaa mawazo yake kwamba shosti kashaminyiwa mitaa hiyo.... Labda alisimuliwa na rafikiye kuwa hiyo ndiyo iko poa.... Dah ila kama anaibiwa vile
 
Hivi kuna umuhimu wowote wa kusimuliana mambo kama hayo kwa kigezo cha urafiki?me nilifikir ni wasichana na wavulana ndo wanahadithianaga,kumbe ata wanaume mmmmh!

Jamaa alikuwa akihitaji ushauri kwa rafiki yake maana alikuwa akihisi kama anachukuliwa ndege wake...
Ni kawaida kwa marafiki kushauriana na kuelezana mambo yao, iwe wanaume au wanawake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom