Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,074
- 1,553
Shukran mkuu. Hawa wanawake zetu pamoja na kuwapenda ila Usiwaamini na mtoto wako asiye wake.Daaah una busara sana kiongozi nimecheka sana.
Shukran mkuu. Hawa wanawake zetu pamoja na kuwapenda ila Usiwaamini na mtoto wako asiye wake.Daaah una busara sana kiongozi nimecheka sana.
Dada wa kazi??? Kuongeza gharama zisizo za msingii... Hapa ishu ni mama hampendi dogooUshauri wangu
Tafuta dada wa kazi achana na uyo demu mpunguzie mzigo mwache awe huru
I admire your capacityMkuu, haupaswi kuendekeza upuuzi ambao utakuletea msongo.
Na hapa naon kabisa jinsi unavyo umizwa na kwamba leo ni siku ya mwisho ya weekend, na kesho ni siku ya kazi... Hapa unacho kiwaza ni mwanao atabakije??
Mkuu, mtoto wa miaka 7 ni mkubwa sana, na tayari ametosha umri wa kwenda shuleni, na ikibidi tengeneza utaratibu wa kumtafutia pakushinda baada ya kutoka shuleni na kisha baada ya kazi unampitia.
(Ingekua mimi ndio wewe, ningetafuta spare tyre kwaajiki ya kumtake care mwanangu kila baada ya kutoka shuleni, kisha nami ananifriji bada ya kutoka job huku tukifurahia maisha mimi "mamdogo" na mtoto) Kisha masaa ya jioni tunarejea home taratibu....