Wadau! Mkerejea mwanzoni mwa thread nilisisitiza hii maneno ni seriously! Na mlionijali na mkatumia muda wenu, vidole vyenu kubonyeza burton kuandika, nami sitokua hayawani kutokuwapa asante kw majina nitumie style mjengoni na ninahifadhi michango yenu kwenye hansard! NDU/MAYAYA, MZABZAB, LIKWANDA, IDD, NDECHUMIA, CTV KILAZA, BADILI TABIA, KWELI, SHAMTE, RAYMOND 2500, UNDUGUKAZI, MIKATABAFEKI. Nawashukuruni sana, ningeweza kutoa shukrani za jumla, lakini kwa umuhimu wa issue husika nimetumia style hii, NAWASHUKURUNI.