Mwanamke hasomeshwi, utajuta

Na mwanaume hatakiwi kuvumiliwa akiwa anaanza kutafuta maisha from the scratch, wanawake wengi wana tabia ya kuwavumilia wanaume wakiwa bado wanajitafuta wakiamini kwamba wakifanikiwa watafaidi matunda yao, lakini cha ajabu baada ya hao wanaume kufanikiwa huanza kutafuta sasa wanawake wa type zao ambao walikuwa wanawakataa kipindi masikini
 
Comrade umeshauri na kutoa ujumbe mzito sana kuhusu mahusiano uchumba na ndoa.
Big up sana umeeleweka vizur sana πŸ’ͺ

ila huo muonekano unatia kinyaa, unadhoofisha ujumbe huo mzito na kuhamisha mjadala πŸ’

achana nao piga Kaz tu...
Wabongo mbona mnapenda kushauriwa vitu vyepesi namna hii? Unashindwa kuona kwamba ni ile ile kanuni ya ''usitumie fedha kununua mapenzi'' ila imezungumziwa tu kwa mifano? Hii kanuni ya kutotumia fedha kama ndoana wakati wa kutafuta mke/mpenzi mbona inajulikana sana? Fedha zinatumika kwenye ''hit and ran'', yaani unagonga na kukimbia, sasa wewe unavua nguo kabisa unataka kulala hapo hapo, hujui akija mwenye fedha zaidi utafukuzwa?
 
Umeona upande wa pili wa shilingi. Ni kweli kabisa.
 
Uko sahihi Comrade
 
 
uko sahihi na siriazi sana πŸ’
 
Kweli tupu watu humsaidia mwanamke kuwa single na sio kudumu kwenye ndoa
 
Wanawake gani sasa unaowaongelea wewe?
Mnaacha kujipa muda wa kutafuta wanawake, mnaleta uvivu kwenye sensitive project kama hiyo badala yake mnaamua kuchagua Malaya, halafu mnarudi kulaumu na kutukana wanawake?
Wanawake ni wa kutafuta sana, Malaya unajiokotea tu, yeyote kati ya wale unao waona.
Mkitaka Wanawake halisi waongezeke anzeni ninyi kubadilika, tafuteni wanawake achaneni na Malaya.
Kwa sasa kuna kuna Malaya 8 katika kila wanawake 10, tenga muda wa kutosha kutafuta hao wawili ndiyo maana mlifundishwa kutafuta thamani ya "X" na"Y".
 
Ana wivu na wake zetu, mleta mada kafukuzwa kwa mme wa mtu kaja kulalamika humu.
 
Duh!
Tatizo nikiwatazama mabinti zangu kama wasingesoma sijuwi ingekuwaje?!
Wacha wasome, mke asome, akizinguwa FUKUZA. Lete mwingine, mwendo huo huo....πŸ’ͺβœŠπŸ«΅πŸ™πŸ€™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…