negotiator nodegi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 403
- 127
mkuu unatumia maji ya mende??nidai kreti
tatizo wanaume wanahisi expenses ndo matunzo kwa mwanamke,kuspend nae muda ndo matunzo kwake,hell nooo,labda kama mchimba dhahabu
TATIZO LAKO HUJUI VITU GANI UKIACHANA NA DAWA NA SIJUI KUMZUNGUSHA NA GARI NAAMANISHA VILE VYA ROMANTIC VINAVYOMPA RAHAHASWA AKIWA KWENYE MOOD KAMA YAKE
Kwani alimtaja jina mkuu..?sio hivyo kuna coments sehemu alikuwa anamuexpose member waliekutana huko nje ya jf kitu ambacho hakitakiwi hapa
Ukiumwa unataka nikuhudumiaje?
nitoe ndani ya box kama mama yeyo
wewe si wa khanga mbili? unakaa kibarazani kumsubiri mumeo?
mi wa dera,namsubiria room
Haya nakuja fasta
unakuja fasta kwani wewe zimamoto
Kwanni uwe mtumwa???
Nashangaa sana wanaume wa sasa kitu cha kipuuzi kama hiki unamwambia unamwambia so ulitaka nikununulie kadi badala ya dawa?
Ukweli utakusaidia achana nae kuwa huru na maisha yako.
you are thinking like man..........
post zako huwa zinanivutia.........ni km mwanamke halisi wa kiafrica.