Hilo ni darasa zuri kwako,wanawake hawahitaji vitu vya gharama bali wanahitaji upendo.
Nadhani hilo ni fundisho kwamba mke unaweza kumpa hata karanga za sh.100 akakuona wa maana kuliko yule anayeleta matumizi ya nyumbani mengi lakini hana muda wa kutosha kuongea na mke wake.
Hilo ni darasa zuri kwako,wanawake hawahitaji vitu vya gharama bali wanahitaji upendo.
Nadhani hilo ni fundisho kwamba mke unaweza kumpa hata karanga za sh.100 akakuona wa maana kuliko yule anayeleta matumizi ya nyumbani mengi lakini hana muda wa kutosha kuongea na mke wake.
Nina mpenzi wangu anayefanya kazi morogoro mwezi march alikuja kunitembelea coz alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2.siku 3 tangu afike alishikwa na malaria Kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa.pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa.mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu SIKUWAHI KUMLETEA KADI YA GET WELL SOON.ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali
nishawahi kung'oa mke wa kibosile mmoja kwa kujali tu hisia zake,.
stupid...
Mkuu mbona matusi?
Kwanni uwe mtumwa???
Nashangaa sana wanaume wa sasa kitu cha kipuuzi kama hiki unamwambia unamwambia so ulitaka nikununulie kadi badala ya dawa?
Ukweli utakusaidia achana nae kuwa huru na maisha yako.
wapi..??