Mwanamke haaminiki

Mtoto wa miaka 18 unataka uaminifu wake wa nini ungemgegeda tu then achape lapa
 
Wanaume wanaumiza sana wanawake ni bac tu wanawake si walalamishi kama hao mijusi, unaweza kuwa na mme siku unakuja tambua ana malaya watatu kwa mpigo hembu ona kuna amina, noela ema, hapo mke maumivu gani mke anayapata hapo ni kutafuta mstaafu asuuze machozi yake tu.
 
Pole mkuu.
 
Huyu jamaa kuna kitu kinamsumbua tena kikubwa mno kama kuna wanaoweza kumsaidia Wamsaidie haki ya Mungu nimecheka hadi machozi hahahah
Hawa wa kupuuzia tuu huwaga wanajikuta wema sana kumbe wapi.
 
Mkuu hata nyie mna mambo yenu. Kumbuka hata hiyo michepuko ni wanawake.
Kwa kifupi tuu ndugu hakuna wa kumwamini.
 
Mzee uliwajaribu wote
 
PUMBA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…