Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,684
- 45,613
🤓🤓Mmh!
🤓🤓Mmh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh! Mleta uzi unataka watu waongope tu hapa.
Hahahaaa. Nasubiria nimuone Kaka.Haya MREMBO atakaye kuwa tayari kuolewa na maskini aje kwangu
Hahahaaa. Nasubiria nimuone Kaka.
Na kweli Kaka. Kila la kheri.Ngoja tuone Dada yangu... Huenda ikawa ni Bahati yangu wakati huu..
Na kweli Kaka. Kila la kheri.
[emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi ukifika japo page 10 tu ntajipa likizo ya mwezi jf
Niliwahi kusikia mdada mmoja anasema; "sitaki kuolewa na mwanaume tajiri, bali nataka masikini mtafutaji ili nianze naye ".Mm hapa
Niliwahi kusikia mdada mmoja anasema; "sitaki kuolewa na mwanaume tajiri, bali nataka masikini mtafutaji ili nianze naye ".
Nilimpenda ghafla.
Nimeshakupenda zamani sana.Nipende na mm
Nimeshakupenda zamani sana.
Ngoja niseme nawe. Maana yule sikumsemesha.
mtatafuta zingne lakn kwa kipnd mkiwa mnatafuta lazima kuna mahal mtakua bored pesa inanogesha mapenzZikiwepo zikaisha itakua je
huu uzi ukifika japo page 10 tu ntajipa likizo ya mwezi jf