Mwanamke Dar ajifungua laptop

Mwanamke Dar ajifungua laptop

Jamaa aliyempa ujauzito alikua na tabia ya kupakata laptop kwenye mapaja.... ndio madhara yake
 
Aisee. .

Kulikuwa na habari ya mama kujifungua Chatu, huyu naye Laptop. ..
kweli maajabu hayatakaa yaishe.
 
Aisee. .

Kulikuwa na habari ya mama kujifungua Chatu, huyu naye Laptop. ..
kweli maajabu hayatakaa yaishe.


marejesho nakwambia kama siyo kuona mengi bila shaka tutasikia mengi isiyokuwa na mifano

Mungu mwenye rehema usitupite Bwana!!!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wanapenda smartphone na laptop...mpaka wanajifungua hizo makitu...huwezi kusikia kajifungua nokia touch
 
Afu hiyo laptop imepitia wapi?ninapopajua mimi au pengine??:juggle:
 
Nipe Specs zake ... ni Core Ngapi na Hard Drive GB Ngapi ? Kama cost of production ni ndogo kuliko zile za ku-assemble niambie tufungue kiwanda
 
Aisee. .

Kulikuwa na habari ya mama kujifungua Chatu, huyu naye Laptop. ..
kweli maajabu hayatakaa yaishe.
Yataishaje wakati wanadamu tumeache kumcha Allah na badala yake tupo busy na anasa za dunia?!
Hayo ni madogo tu yapo mengi tutayaona...
 
Yataishaje wakati wanadamu tumeache kumcha Allah na badala yake tupo busy na anasa za dunia?!
Hayo ni madogo tu yapo mengi tutayaona...


Hapa nako umenena Mkubwa!!! Hii ingekuwa kweli ingekuwa cha mtoto kwani yatakuja makubwa sana na ya ajabu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom