Mwanamke Dar ajifungua chatu!


hahaaahahaaaa!
we jamaa tumesoma wote nini?
tuliwah mfanyia hiyo kitu mwalimu wetu, alikuwa mkali hatar, vijana wakaona isiwe tabu!

huwezi amin aliumwa hadi kulazwa!!
ila from there alikuwa mpole kama karogwa tena!!!! vijana hatr sana
 
Mwanamke ajifungua simu aina ya galax s3 huko mbagala ntaleta picha.
..

Mkuuu please pleaseee....naomba contact ya huyo mama ninfanye nyumba ndogo!!! Nitakuwa nam mimba kila siku...hebu niulizie kwanza..atakuwa anazaa matoleo latest au ni s3 tuu!!?
 
Atakuwa.mtoto wa kumtafuta kwa wagangani sawa na stori ya wimbo wa bahat bukuku
 
Udaku, kama ule wa watu kunatiana sehemu za siri!
 
Hasa ukizingatia gazeti lenyewe lililotoa habari huwa linarusha picha mpaka zisizotakiwa kurushwa kutokana na maadili kiasi kwamba leo wamekuwa waungwana wasitoe picha
 
kaburi alilofukiwa liko wap msiba ulikua wap,? hii picha kama ya kihind.mwisho wakamatwe hao waliozka kiumbe ambaye tungemtumia kama maonyesho ili kuingiza mtonyo
 

Maelezo marefu ambayo hayana maana yeyote, kama unaleta habari andika na uambatanishe vielelezo au walau picha, tunaona wakamatwe tu na maelezo ya kidaku
 
Hapo hakuna chatu wala nini bali ni kiumbe hakikukamilika ndio maana wanakiona kama huyo chatu. Naamini scientifically system ya chatu na binadamu ni tofauti kabisa hivyo hiyo kitu si rahisi kutokea. Halafu ukute hiyo ni miscarriage yaani mwili ume-reject hicho kiumbe kikiwa kwenye hatua za awali za formation!
 
mbona hakuna sehemu yoyote inayomuelezea mtu aliyempa mimba hii itakuwa maigizo fulani hivi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…