FAIRATTORNEY
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 219
- 61
Habari hii haiko vizuri,
Mama anafua nguo nyumbani saa sita mchana, alihusikaje na hao polisi sasa.
Waseme mtu walimmwangosi mama wa watu.
Risasi haina macho ndugu na sio kama mtu kwamba ukimtuma aspopata alichotumwa anarudi, ile ikikosa target itapiga itakapofikia.