Mwanamke aua mtoto wa mwanamke aliyetembea na mume wake

Sina roho ya namna hiyo, siwezi kutoa uhai ea kiumbe kwa sababu ya mapenzi, i winder kama huyo mwanamke ana kizazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afungwe mume wake kwa kuoa mtoto kisha wafungwe wazazi kwa kuozesha mtoto ndipo hukumu irudi kwa mtoto kumuua mtoto mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…