Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
MWANAMKE aliyetambulika kwa jina la Ndeku Agustino (22), mkazi wa Kigogo Luhanga juzi jana aliushangaza umma kwa kutupa kichanga chake chooni alichotoka kujifungua punde huko maeneno ya Kigogo |
Ndeku akiwa na mwanamke mwenzie ambae hajafahamika kama ni rafiki ama ndugu aliongozana nae na waliomba huduma ya choio kwa mmmoja wa wakazi wa maeneno hayo na walipatikwa huduma hiyo bilka mwenyeji wao kutambua alikuwa na lengo gani Imedaiwa na mwenye choo hicho kuwa mwanamke huyo akiwa amejifunika kanga na alionekana kama alibeba kitu alichofunika na aliingia chooni humo kumbe alikuwa ameshakiviringisha kwenye mfuko wa rambo na alipoiingia humo alikitupa kichanga hicho kwen ye tundu la choo hicho na kutoka na kuondoka na mwenzie Mara tu alipoondoka mama wa mwenye choo hicho alimuamuru mwanae akaangalie chooni kwani alikuwa ana wasiwasi na wale waombaji choo, basi pundu mwanamke huyo kwa kuamrishwa na mama yake alikwenda chooni na alichungulia tunduni aliona mfuko wa Rambo unaelea na kuita watu na kugundua kuwa alikuwa kichanga Ndipo walianza kuwafatilia wanawake hao kwani walipotoka hapo walikodi usafiriri wa pikipiki kwa bahati dereva huyo alionekana na baadhi ya majirnai wakati akiwapakia hivyo aliamriwa na awapeleke alipowashusha wanawake hao ndipo walipopatikana Hivyo mwanamke huyo anashikiliwa na na Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni kwa kitendo hicho cha kutupa kichanga kilichokuwa na jinsia ya kiume |
chanzo: Mwanamke atumbukiza kichanga chake chooni