if you say so....!teamo ndio maana nikaja na reputable journal papers kwa sababu sikutaka kukuletea ushahidi wa net tu wowote (wewe kama teamo unaweza kukataa ushahidi huo, lakini usidanganye umma kuwa hizo si reputable journals)
.......................wewe lete ushahidi wa kutoka kwenye journal papers pia kama unao......but i guess not! 😀
SHIDA INAANZIA HAPA!...
na kwakweli watanzania wengi wanaangamia kwasababu shida inaanzia hapo....!
wazungu wenu wamewaandikia pia kwenye ma-journal NDOA ZA WANAUME KWA WANAUME NI RUXA...!lakini kwasababu ni wazungu POA!
watu kama ninyi endeleeni tu kubeba box...!msije bongo
shameshaaaa mshikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!heeii...ngash2ka mbee...lol
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu
Results consistently demonstrated that male participants preferred women with lower SES. Female participants, in contrast, preferred men with higher SES. These sex differences were more pronounced when a long-term romantic relationship rather than a one-night stand was being considered. In addition, men's lower reported likelihood of romantic contact with a woman with high SES was due to her high educational level rather than her high income. Mediational analyses showed that men perceived a potential partner with high educational level as less likeable and less faithful, and thus reported less likelihood of romantic contact.
Journal of Experimental Social Psychology
Volume 43, Issue 2, March 2007, Pages 180-194
Successive marriages ni zipi?kwa utaalamu wa gaijin wa kutumia mitandao vibaya naweza kudisplay 50 successive marriages (PRACTICAL ONES) ambazo wanawake ni matajiri wakubwa!kwasababu ni swala la kutype tu na ku-search.
sasa huyu anakuja na maungwini page miambili lol!:rip::rip::rip:
Wandugu za leo,
Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.
Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu
baada ya kufika hapo naomba tu nikuwache uendelee ..........mi na wewe tunaongea katika wavelengths tofauti kumbe! 😀
Unaweza kurudia tena hapo? Pesa ni kitu kingine bana. On the other side of the coin, kama mwanamke hana kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake bado ndoa inadunda.JS vipi tena! mapenzi kama yapo ya kweli kabisa hujali kwamba huyo umpendaye ana mapesa kiasi gani awe mwanamke au mwanaume, lakini kama unafuata penzi la pochi basi hapo kuna tatizo na mara nyingi penzi halitadumu kwa muda mrefu hasa ikitokea michuzi ikiamua kuingia mitini.
Kama jamaa hana hata kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake muhimu na kukutegemea wewe kwa kila kitu basi hapo kuna tatizo tena kubwa vinginevyo ni poa tu.
VERY UNPRACTICAL!....
wadanganye wanao danganyika!
mi sidanganyiki kwa ma-journal ya ajabu ajabu
Unaweza kurudia tena hapo? Pesa ni kitu kingine bana. On the other side of the coin, kama mwanamke hana kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake bado ndoa inadunda.
Hoja imerudi pale pale, mwanamke akikuzidi kipato ni hatari kwa ndoa yako. Nazungumzia uzoefu, Teamo usiniulize scientific proof hapa tafadhali.
hivi huyu journal zake ni magazeti ya Shigongo?
Hommie umekosea kiduchu... Journal zake ni zile bills anazopewa na kina Eliza....:yawn:hivi huyu journal zake ni magazeti ya Shigongo?
Wandugu za leo,
Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?
kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.
Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika
kwa jinsi ilivyo kujua successive marriages,ndio hivyo hivyo ngumu kuthibitisha hilo mnalolitetea!Successive marriages ni zipi?
Unawezaje kuijua successive marriage ya mtu mwingine? Kuna wanandoa unawaona wanatembea na kucheka kwa furaha mbele za watu wakiwa nje........ Wanapokuwa ndani.......Lakini laiti kuta zingekuwa zinasema ungeshangaa ya kusikia........
sasa hapo ndio hoja inapolala!JS vipi tena! mapenzi kama yapo ya kweli kabisa hujali kwamba huyo umpendaye ana mapesa kiasi gani awe mwanamke au mwanaume, lakini kama unafuata penzi la pochi basi hapo kuna tatizo na mara nyingi penzi halitadumu kwa muda mrefu hasa ikitokea michuzi ikiamua kuingia mitini.
Kama jamaa hana hata kazi ya kuweza kujitimizia mahitaji yake muhimu na kukutegemea wewe kwa kila kitu basi hapo kuna tatizo tena kubwa vinginevyo ni poa tu.
shabiki wewe....!hahahahaha:sleepy::sleepy: