
Ndiyo hivyo!
Na wanamna hiyo hufanya baada ya kuwa disappointed na waume zao wa ndoa !
Unakuta mwanamke anaimbishwa na jamaa labda walisoma naye chuo na pengine hawakuwahi kusex hata siku moja,
mke amekuwa akikataa sababu anajua ameolewa na anapaswa kuwa mwaminifu kwa Mungu na mume wake wa agano,
Kuja kutahamaki mke anakuja kujua mume ana michepuko ameiweka mjini anaihudumia kwa mahitaji yote ya msingi (chakula, malazi na malazi), achilia mbali mahitaji mengine kama vile ada za Shule za watoto wa kufikia ambao mchepuko kazaa na wanaume wengine, na mengineyo mengi!
Imagine!
Unazani nini kitatokea?!
Lakini swala la kusema eti kwa kufanya hivyo itapelekea kumuua mumewe hapana bana!
Labda ichangiwe na sababu nyinginezo lakini siyo hilo la kuchepuka tu Hapana!
Sasa amuue mume wake kwa sababu gani kwa mfano?