Mwanamke anataka Tuzae kabla ya kufahamiana zaidi

Pearce

JF-Expert Member
Dec 15, 2018
577
1,381
Habari wakuu,

Nahitaji wenye uzoefu au mifano halisi katika hili nisije ingia mkenge au kufanya maamuzi sio mazuri

Nilikutana katika ofisi napofanya kazi na Mwanamke ambae tuliwahi kusoma wote miaka mingi Chuo kikuu lakini hatukuwahi kuwa karibu. Zaidi ya kusalimiana mara chache tunapopishana corridor za chuoni

Kweli nilipomuona nkatoka ofisini kwangu nimsalimie pia nimkumbushe sababu yeye alidai kanisahau

Tukabadilishana namba tukawa tunawasiliana hatukuzidi miezi 4 tukaanza Mahusiano. Kikwazo kikubwa tupo mikoa tofauti na yeye yupo NGO'S na Mimi nipo Serikalini.

Kweli ni mwanamke ambae kanishinda maendeleo ameshajenga ana viwanja na asset na mshahara mkubwa simpati

Kweli hatuna mwezi katika Mahusiano yetu lakini wimbo wake Tuzae. Mpaka namwambia hatujawahi kuwa karibu hata kuchunguzana kwa muda mfupi tunaishi mikoa tofauti kwasasa itakuaje katika malezi.

Yeye anasema atamhudumia mtoto anachotaka tu Mimi nitambulike kwao.

Na maisha ya kwao kweli ni Mazuri.

Nimebaki njia panda kwanini aharakishe haya masuala na Mimi nimemuambia anipe muda kusudi nijipange procedure za kumuoa kwanza nianze tupate muda kufahamiana kwa ukaribu zaidi.

Nisaidieni mawazo yenu.
 
M
Habari wakuu,

Nahitaji wenye uzoefu au mifano halisi katika hili nisije ingia mkenge au kufanya maamuzi sio mazuri

Nilikutana katika ofisi napofanya kazi na Mwanamke ambae tuliwahi kusoma wote miaka mingi Chuo kikuu lakini hatukuwahi kuwa karibu. Zaidi ya kusalimiana mara chache tunapopishana corridor za chuoni

Kweli nilipomuona nkatoka ofisini kwangu nimsalimie pia nimkumbushe sababu yeye alidai kanisahau

Tukabadilishana namba tukawa tunawasiliana hatukuzidi miezi 4 tukaanza Mahusiano. Kikwazo kikubwa tupo mikoa tofauti na yeye yupo NGO'S na Mimi nipo Serikalini.

Kweli ni mwanamke ambae kanishinda maendeleo ameshajenga ana viwanja na asset na mshahara mkubwa simpati

Kweli hatuna mwezi katika Mahusiano yetu lakini wimbo wake Tuzae. Mpaka namwambia hatujawahi kuwa karibu hata kuchunguzana kwa muda mfupi tunaishi mikoa tofauti kwasasa itakuaje katika malezi.

Yeye anasema atamhudumia mtoto anachotaka tu Mimi nitambulike kwao.

Na maisha ya kwao kweli ni Mazuri.

Nimebaki njia panda kwanini aharakishe haya masuala na Mimi nimemuambia anipe muda kusudi nijipange procedure za kumuoa kwanza nianze tupate muda kufahamiana kwa ukaribu zaidi.

Nisaidien
 
I mean no malice to nobody
FB_IMG_17062250478310690.jpg
 
Hakikisha una mpima NGOMA.

Kuna watu wakitaka kukuunganisha kwenye Gridi atakuambia "Nipe mimba ".

Akijua, Mimba lazima upige pekupeku.

Lkn lkn nakuambia ukishamla kavukavu, anakimbilia P2.


STUKENI ENYI WAPUMBAVU
Asantee mkuu lakini nimemgusia suala Hilo la kupima kabla ya contact akaniambia sawa tutafanya maamuzi hayo

Na amekubali Hilo
 
Back
Top Bottom