sawe4u
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 973
- 571
Pale unapokuwa faragha na mpenzi wako halafu akataja jina la mshikaji mwingine inamaanisha kuwa umem-do kiwango sawa na huyo jamaa alie mtaja au nini?
Halafu unamuulza anakwambia ni jirani yake amemzoea (ila hata mimi nilishawahi kutajwa jina na mwanamke wa rafiki yangu wakati wako kwa mchezoni).
Hebu niambieni nyie unawazaga nini baada ya hili kuwatokea?
Halafu unamuulza anakwambia ni jirani yake amemzoea (ila hata mimi nilishawahi kutajwa jina na mwanamke wa rafiki yangu wakati wako kwa mchezoni).
Hebu niambieni nyie unawazaga nini baada ya hili kuwatokea?