Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Upendo
Upendo ni tunda la roho
Upendo
Kuhusu nini! Mnaweza mkawa mnapendana lakini maelewano kuhusu mambo madogo ikawa mgogoro....Na Maelewano!
hahahaaaa, sometimes kweli mkuu hawa viumbe bila kuwachimba mkwara adabu huwa hakuna kabisa!.Mwanamke pia anahitaji kugombezwa
Mwanamke pia anahitaji kugombezwa
Mpwa hapa uko kwenye line kabisa, mwanamke husipomdunda anajifeel bored kiasi fulani na anahisi kuwa hapendwi kama ahadi isemavyo.Vile vile mwanamke anahitaji kipigo pindi anapo kosea hii inaonyesha jinsi unavyo mpenda na kumthamini maana unamkosoa anapo kosea kwa njia ya kipigo amini usiamini upendo unaongezeka mala dufu,
Mpwa hapa uko kwenye line kabisa, mwanamke husipomdunda anajifeel bored kiasi fulani na anahisi kuwa hapendwi kama ahadi isemavyo.
hawa hawa tunaoishi nao Shishi!wanawake gani hawa lazima wadundwe.....
Pamoja na Kilimanjaro stars kushinda , jamani hivi Maximo aliletwa kwa ajili ya Bara au Tanzania nzima? Hivi kiutaratibu si angebaki kama mshauri tu kwa timu zetu za Zanzibar na Kilimanjaro ? Naomba ufafanuzi na mnieleweshe.
Kivipi FL1?ila nyie wanaume mbona hapa kama mnadanganyana vile ????