Umekwama wapi kumpelekea moto!Salaam,
Kuna mwanamke hapa mtaani anazusha nshatoka nae akati sina mazoea nae zaidi ya salamu, je atakua anamaanisha nini wakuu?
tayari nina mke, pia kushtaki ni utoto.Tafuta hiyo mwanamke weka ndani oa...
....Au nenda kamshtaki kwa balozi wa nyumba 10 au mwenyekiti wa mtaa kwamba anakupa shambulio la aibu na unyanyasaji wa kijinsia mtaani!
niingie nae wapiKm yeye anasema mmetoka naye bas na wewe ingia naye
kama amenielewa alipaswa kushow hata ishara ili nijiongeze kuliko kutangaza vile.Umekwama wapi kumpelekea moto!
mkuu we ni comedian?Hutu tu vijana twa siku hizi tunatovaa suruali za kubana na kutumia vipodozi vya dada zao ni tupumbavu tena tushenzi kabisa na hatuna maana, sasa haka kanauliza ina maana kanashindwa tu kujiongeza, ipo siku katakuha kulalamika hapa kwamba huyo dada amekatalia chumbani kwake anatishia kukabaka
tatizo hadi wife keshajua.Fanya kweli
Siku hizi hata asipokuonyesha ishara hata kusema tu kuwa ushatoka nae ni ishara kubwa zaidi ya ishara unazosubiri!kama amenielewa alipaswa kushow hata ishara ili nijiongeze kuliko kutangaza vile.
mkuu nimeuliza coz nimeshangazwa na jambo hili, mi najua tabia hizi huwa kwa wavulana wanaotaka sifa za kijinga bt sikuwahi kujua kama na ke pia wana hizi mambo.Swali la kitoto Sana hili,
Ni sawa na kusema mwanamke anang'ata kucha mbele yangu, anamaanisha Nini
usintisheChunga sana mkuu, kama akijulikana amechoma damu utakosa mademu wote mtaani
kama ni utani basi kafanya utani wa kiboya coz sina mazoea nae hata kidogo.Utani...