Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,699
Labda ulishatoka nae kwa matembezi ya kawaida
kushtaki ni utoto.
Daah niliimis jf kudadaki😅😅😅😅Swali la kitoto Sana hili,
Ni sawa na kusema mwanamke anang'ata kucha mbele yangu, anamaanisha Nini![]()