benjaminy
Member
- Nov 15, 2015
- 42
- 15
- Thread starter
- #21
Ukiona jitu zima linatafuta mke, mume . Kwenye jf , Facebook, kanisani,msikitini nk, jua ana matatizo na sifa mbaya ktk jamii inayomzunguka. Ninadra sana kuishi .
Wewe unasifa nzuri? Lugha uliyotumia inatosha kubaini tabia yako..halafu kama jambo halikuhusu si lazima uchangie...hata mpumbavu akinyamaza huonekana kuwa ana hekima.