Mwanamke aliyetayari

Ha ha ha.
Mkuu singo maza walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo.!!
Hamna kipya
Tujitahidi kupunguza rate kwani hamna mtu anapenda kuwa single mom basi tu hutokea
,so kama unaweza jitahidi tusizidi kuongeza idadi ,kama vipi oa kabisa uwe na wake 2... halali . ukiwa tayari kuoa kbs wa pili ,mke nipo hapa(joke)
 
Mimi sihitaji mume wa peke yangu wala wakushare!
Nahitaji nikuzalie mtoto unilipe tusijuane tena. Kama uko tayari ni Pm
Vip ushazalishwa??

Mtoto wa jamaa ana umri gan nw
 
Tujitahidi kupunguza rate kwani hamna mtu anapenda kuwa single mom basi tu hutokea
,so kama unaweza jitahidi tusizidi kuongeza idadi ,kama vipi oa kabisa uwe na wake 2... halali . ukiwa tayari kuoa kbs wa pili ,mke nipo hapa(joke)
Labda Kama baadhi wataamua kutokuwa na watoto kabisa maishani mwao.
Ratio ya 1:1 haipo na haiji kutokea kwa nchi nyingi. Haya mambo hata kwa walizotuletea dini yamewashinda. Ndio maana wameamua kurahisisha talaka. Mnaachana kila mtu anakuwa na mwingine mmoja tu. Lakini katoka kwa mwingine.
Kwenye tangazo nimesema akiamua kuwa mke wa pili haina shida.
Ila akiamua kuwa free ubaba wangu kwa mtoto hautapungua.
 
Dooh, haya kila rakheri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…