Labda Kama baadhi wataamua kutokuwa na watoto kabisa maishani mwao.
Ratio ya 1:1 haipo na haiji kutokea kwa nchi nyingi. Haya mambo hata kwa walizotuletea dini yamewashinda. Ndio maana wameamua kurahisisha talaka. Mnaachana kila mtu anakuwa na mwingine mmoja tu. Lakini katoka kwa mwingine.
Kwenye tangazo nimesema akiamua kuwa mke wa pili haina shida.
Ila akiamua kuwa free ubaba wangu kwa mtoto hautapungua.
Labda Kama baadhi wataamua kutokuwa na watoto kabisa maishani mwao.
Ratio ya 1:1 haipo na haiji kutokea kwa nchi nyingi. Haya mambo hata kwa walizotuletea dini yamewashinda. Ndio maana wameamua kurahisisha talaka. Mnaachana kila mtu anakuwa na mwingine mmoja tu. Lakini katoka kwa mwingine.
Kwenye tangazo nimesema akiamua kuwa mke wa pili haina shida.
Ila akiamua kuwa free ubaba wangu kwa mtoto hautapungua.