Mwanamke aliyetayali kuolewa anahitajika

Mwanamke aliyetayali kuolewa anahitajika

profeas mbiti

Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
39
Reaction score
2
Natafuta mwanamke aliyetayali kuolewa na awe na vigezo vifuatavyo: 1.Elimu kidato cha nne na kuendelea,2.Mwenye hofu ya Mungu,3.Umri miaka 25-30,4.awe ameajiliwa au mjasiliamali shwari tu, 5.Rangi maji ya kunde,6.Awe na dhamila ya dhati katika mapenzi na ndoa. Mimi sifa zangu ni kama ifuatavyo: 1. Elimu graduate mwajiliwa,2.Dini mkriso,.Urefu 172cm, 3.Nina umbo la wastan,4.Umri miaka 30 ninaishi mkoani kilimanjaro!aliye tayali ani PM.
 
Mimi niko tayali ila nina umli wa miaka zaidi ya selasini, harafu nimeishia dalasa ra saba
 
hehehehehehehehehehehehehehehehehehehehehehehe! hilu maza.
 
A graduand asiyejua tofaut ya r na l... Lol.... Inaboa kuchat na mtu asiyejua kuumba vzur maneno askwambie mtu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom