Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 334
- 795
Habari wakuu.
Sijajua changamoto iko wapi? Mwanamke akianza kulalamika kuhusu mahusiano baina yangu na yeye hapo ndipo unakuwa mwisho wake. Siwezi kuvumilia malalamiko wala aina yoyote ya makelele.
Sijajua lini nitabadilika wakuu.
Nashindwa kuwa kwenye seriously Relationship.
Sijajua changamoto iko wapi? Mwanamke akianza kulalamika kuhusu mahusiano baina yangu na yeye hapo ndipo unakuwa mwisho wake. Siwezi kuvumilia malalamiko wala aina yoyote ya makelele.
Sijajua lini nitabadilika wakuu.
Nashindwa kuwa kwenye seriously Relationship.