Mwanamke akikukera usimpige wala kumuacha

Mwanamke akikukera usimpige wala kumuacha

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,230
Reaction score
10,201
Wakuu wanaume wenzangu,

Nimeona wanaume wengi sana wake zetu wakitukera sana basi tunaishia kuwapa kichapo na hata kuachana nao. Hii ni misuse of resources kwa kiwango kikubwa sana.

Yaani tunashindwa kuishi nao kwa akili. Hii ni Failure kubwa sana kwetu Wanaume.

Mwanamke akikukera sana, usimpige, wala usimuache, especially kama mna watoto. Mfanye awe House girl wako akutunzie wanao.

Nakaribisha Maoni kutoka pande zote, kiumeni na Kikeni
 
Ndoa nyingi zinasumbua ni kwa sababu, mwanaume hamjui mwanamke anayeishi naye na mwanamke hamjui mme anaeishi naye, nilipokuwa mdogo nilikuwa nasikia wanawake ni wasumbufu sana hivyo nikaamua kuwasoma wanawake kuanzia hisia zao, hormone, ukuuwaji, na tabia zao. Ninaishi na mtu ninaye mjua toka vizuri. Tatizo kubwa linaanzia hapo
 
Mbona ni mali kwa mali ndg. Watoto wa baba mkubwa na mdogo hiyo ni mukide tuu. Mbona hii kitu ya kurithi na kula mali ya kaka ilikuwepo tu tangu kitambo sema magonjwa ndiyo shida
Jamaa anaogopa watoto wa Babaake Mkubwa,kuna walichomtenda hahaha
 
Kutakuwa na two House girls
Wa kutwa na wa usiku
...Housegirl feki wa kutoa maelekezo kwa housegirl wa kweli, hapo sawa...
Hapo kama umeridhika kuwa hamuendani, mkubali tu muishi kama masela ndai ya nyumba! Mheshimiwne tu kama binadamu na wazazi. Ni ngumu ila ndio hivyo...nikitudi usiku usiniulize..
 
Wale tusiokuwa na waifu wala demu tujitahidi kusoma comments tupate uzoefu
 
for how long braza??get out kaanze upya...tunza wanao.....baasi...mwanamke ni yule yule.......amesoma hajasoma,,,,,wa mjini au kijijini....ni mwanamke.........usiishi nao kwa akili.....maana wana akili zao...
 
Back
Top Bottom