Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,664
Wakuu namtafuta mwimbaji na mcheza ngoma za kienyeji maarufu miaka ya 1980 na 1990 aitwaye MWANAMITUMBA. Mara ya mwisho nilisikia yupo kijiji kimoja jina limenitoka huko BUKENE Tabora.
Mwenye taarifa naye naomba anipe.
Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye taarifa naye naomba anipe.
Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app