Mwanamfalme wa Uingereza Prince Harry na mkewe Meghan Markle kujiondoa katika familia ya Kifalme (Royal Family)

Hivi Harry ni wa kwanza kuwa kwenye situation kama hii? (Ya kuwa ndugu yako mkubwa ndiye atainherit the throne) maana kila mtu “Harry will never be King” “Harry kazidiwa na watoto wa William” kwani mbona wakina Anne, Edward na Andrew hao hapo ndugu yao Charles anatazamiwa kumrithi Elizabeth na hawajawa vichaa, hawajajitoa royal family wala nini na maisha yanasonga tu.

Kwangu hii ni sababu weak. Tukubali tu kuwa Harry ni binadamu ana ambitions zake ana maamuzi yake ambayo si lazima yawe influenced na Kaka yake ana nini au atapata nini.
kama umenisoma vizuri utaona nimedokezea sababu ya magazeti ya udaku ya ulaya yanavyo mnanga Meghan (sababu ya race yake).
 
Finally, Somebody is moving out of Grandma's house. He's the realest amongst the royal family, huwa jamaa anapenda sana kujichanganya na kuishi maisha ya kawaida nilihisi kuna siku atajitoa ktk hii familia abaki na jina tu bila kuwa na day to day royal duties hata kama asingemuoa huyu mke wake.
Kwanza alishasingiziwaga kuwa ni mtoto haramu. Ni bora kasepa zake na kamtaji alikopata ka usupa staa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiangalia saikolojia ya Harry naona kabisa kuwa anaamini The Royal Family ilihusika na kifo cha mama yake, Princess Diana. Ndiyo maana mara zote amekuwa akifanya vitu vya kitofautitofauti ili kumalizia hasira zake. Hata kumuoa Meghan nadhani, pamoja na mapenzi, ilikuwa kuikwaza tu familia yake kwa kuingiza damu ya mtu mweusi katika ukoo wa kifalme wa Uingereza.
The Royal Family Marriage Act 2013 inamtaka member yeyote wa Royal Family up to 6th in line to the throne, kabla ya kuoa/olewa, apate approval kutoka kwa Her/His Majesty ili wao na vizazi vyao wabaki kwenye mstari wa urithi. Na, Prince Harry, akiwa 6th in line aliomba kibali cha kumuoa Meghan na aliruhusiwa. So, suala la "kukwaza familia" halipo kwani wasingemtaka Meghan wasingemruhusu.

Ila inaonekana Harry kabadili gia angani kwani tangu mwanzo kama asingehitaji kubaki royal asingeomba kibali cha kuoa; kwa kukiomba alitaka kubaki kwenye line. Hii inaonesha kuna jambo lilitokea baada ya kuoa sio bure. Labda baada ya scandal ya baba yake mdogo? Or something else?

Hata hivyo imeripotiwa mara kadhaa Meghan kukosa furaha ndani ya ufalme so labda kaamua aachane na ufalme ili aandamane na mkewe wa kimarekani. Even his great great grand father King Albert abdicated (1935) kwa ajili ya "mwanamke aliyempenda sana" (mmarekani pia) ndio maana leo Harry akajikuta yuko kwenye ufalme otherwise, isingekuwa penzi la babu ufalme angeusikia tu.
 
Nikiangalia saikolojia ya Harry naona kabisa kuwa anaamini The Royal Family ilihusika na kifo cha mama yake, Princess Diana. Ndiyo maana mara zote amekuwa akifanya vitu vya kitofautitofauti ili kumalizia hasira zake. Hata kumuoa Meghan nadhani, pamoja na mapenzi, ilikuwa kuikwaza tu familia yake kwa kuingiza damu ya mtu mweusi katika ukoo wa kifalme wa Uingereza.
Ukweli mtupu

Halafu ukweli wote wa kifo cha mama ake kaushaujua! Nani na nani walihusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hampelekeshi, kwenye ufalme Harry yeye yupo nyuma sana hata kwa kitoto cha mwisho cha William, watoto waliokuja juzi juzi duniani leo ndio wenye haki kuliko yeye. Na kaka 'ake wanaweza kutotoa vingine maana Kate mwili wake uko poa, hivyo kuzidi kusahaulika.

Kwa maamuzi haya (ya kidijitali), Harry ataweza kujijengea jina lake (legacy) kama yeye na familia yake kwa foundation waliyoianzisha.

Pia wamejiondoa kwa heshima kuliko kufurumushwa kama baba yake mdogo alivyofanyiwa.Megan pia atakuwa huru kuwa kwenye 'spot light' kama alivyozoea wakati akiwa anacheza sinema.

Magazeti ya udaku ya Ulaya hayampendi Megan, hivyo watazidi kumchamba kadri siku zinavyokwenda wakati yale ya Marekani yanawapenda sana Harry na Megan.

Ni jambo la busara wao kujiongeza...
pia Harry anapenda sana siasa, anaweza kuja kuwa waziri mkuu siku za usoni
 
Wamegombana na kaka yake hawana mahusiano mazuri kwa sasa, chanzo ni wake zao walikuwa aziivi chungu kimoja.

Kila mtu akachukua upande wa mkewe mwishowe imekuwa kutokuelewana kwao.

Dogo naona kaona familia nzima isimzingue aachane na hizo shughuli za royal duties atumie muda mwingi USA, hana shida mama yake katika urithi alimuachia yeye sehemu kubwa ya mali zake kwa uelewa kaka yake atakuwa mfalme siku moja.
 
Mwanamfalme Harry na mkewe Meghan wametangaza 'kuachana' na shughuli za kifalme.

Hivyo wataishi kama raia wa kawaida wakiwa na vyanzo vipya vya mapato
IMG_20200109_150630.jpg

Tamko la Prince
IMG_20200109_151739.jpg
IMG_20200109_151825.jpg


Familia yasikitishwa na hatua hio

Familia ya kifalme ya Uingereza imesikitishwa na maamuzi ya mwanamfalme Harry na mkewe Meghan kutangaza 'kuacha' kujihusisha na shughuli za kifalme.
Kasri la Buckingham imehuzunishwa na maamuzi hayo na kusema haikuhusishwa na wala haikuwa na taarifa zozote za awali kuhusu maamuzi ya wanandoa hao.

Familia yaomba majadiliano zaidi
IMG_20200109_151732.jpg
 
Baadhi ya comment za wadau

It doesn't matter if Harry is removed from the line, harry is so far from the throne. Not to mention I'm sure he always wanted to get away from the monarchy after he lost his mother. Him getting married and becoming a father allowed him a chance to start the life he's been wanting to have.
 
Back
Top Bottom