Aisy
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 499
- 1,123
Princess Margaret of course lazima kizazi chake kiwe tu far from media...Ni jambo la busara kujiondoa, asingefanya hivyo angepotea kama akina Princess Margaret (mdogo wa malkia) na kizazi chake kilivyopotea kwenye media.
So sidhani Kama iyo ni reason...hapa kikubwa ni mapenzi kwa Meghan tu