dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,127
- 49,386
... uko sahihi! Prince Harry is 6th in line to the throne na hapo, kama ulivyoeleza, ni endapo William hatoongeza mtoto which means (Harry) atazidi kutupwa pembezoni kabisa huko. Kutegemea angalau watu watano wenye sifa wafe ndipo wewe uchukue nafasi ni zaidi ya ukichaa. Ingekuwa Afrika huku ni rahisi kuloga ukawamaliza wote lakini sio Ulaya. Wameamua kujiongeza.
===== UPDATES - 16/01/2020 =====
Chachu Ombara, Chamoto, black sniper, Diana Spencer mkewe Prince William hatimaye amethibitisha William hataki watoto zaidi. Hawa jamaa kumbe wanachungulia mijadala humu JF maana hoja ya William kuongeza au kutokuongeza watoto ilijadiliwa sana kwenye huu uzi. Naona wameamua kutoa ufafanuzi. Case closed. Au ni kijembe kwa Harry kwamba asiogope, nafasi yake ya 6 kwenye foleni ya urithi haitaathirika?
Source: Kate Middleton Says Prince William Doesn't Want Any More Children
===== UPDATES - 16/01/2020 =====
Chachu Ombara, Chamoto, black sniper, Diana Spencer mkewe Prince William hatimaye amethibitisha William hataki watoto zaidi. Hawa jamaa kumbe wanachungulia mijadala humu JF maana hoja ya William kuongeza au kutokuongeza watoto ilijadiliwa sana kwenye huu uzi. Naona wameamua kutoa ufafanuzi. Case closed. Au ni kijembe kwa Harry kwamba asiogope, nafasi yake ya 6 kwenye foleni ya urithi haitaathirika?
Source: Kate Middleton Says Prince William Doesn't Want Any More Children