Salaam, Shalom!
Mhubiri anasema, Kila jambo na wakati wake.
1. MWANAKONDOO.
Mfalme aliacha kiti Cha Enzi, akavaa mwili wa Mwanadamu akaonekana maskini, asiye na utukufu kwa kazi maalum ya ukombozi. Kumtoa Mwanadamu kwenye minyororo ya dhambi.
2.SIMBA WA KABILA LA YUDA.
Sasa baada ya kushuka kuzimu na kuitwaa funguo za mauti na kuzimu, akafufuka na kupaa mbinguni, ameketi Katika kiti Cha Enzi mbinguni. Na ametuketisha pamoja naye kutawala Katika ulimwengu wa Roho.
CONCLUSION:
1. Ni muda wa kuuleta ufalme wa Mungu Katika nchi,
- Wezi waitwe kwa majina yao na kuambiwa huu ni wizi, watubu na kuacha wizi.
- Ni muda wa kumrudishia haki yake mjane na yatima aliyodhulumiwa.
- Ni muda wa kuamuru nyakati njema zifuatane nasi Katika nyanja zote za MAISHA, siasa, uchumi,uvuvi,kilimo,ufugaji nk nk.
- Ni muda sasa wa kutawala, ufalme wa Mungu uonekane Katika siasa za nchi yetu, haki uonekane ikitendeka Ili machozi ya walioonewa yaweze kufutwa Tena..
Imebarikiwa sana Nyikani, Taifa la nyakati za mwisho Katika kuonyesha Dunia juu ya ufalme wa Mungu duniani.
Haya sasa , Simba amka ule mawindo yako yako tayari.
Aamin 🙏
Mhubiri anasema, Kila jambo na wakati wake.
1. MWANAKONDOO.
Mfalme aliacha kiti Cha Enzi, akavaa mwili wa Mwanadamu akaonekana maskini, asiye na utukufu kwa kazi maalum ya ukombozi. Kumtoa Mwanadamu kwenye minyororo ya dhambi.
2.SIMBA WA KABILA LA YUDA.
Sasa baada ya kushuka kuzimu na kuitwaa funguo za mauti na kuzimu, akafufuka na kupaa mbinguni, ameketi Katika kiti Cha Enzi mbinguni. Na ametuketisha pamoja naye kutawala Katika ulimwengu wa Roho.
CONCLUSION:
1. Ni muda wa kuuleta ufalme wa Mungu Katika nchi,
- Wezi waitwe kwa majina yao na kuambiwa huu ni wizi, watubu na kuacha wizi.
- Ni muda wa kumrudishia haki yake mjane na yatima aliyodhulumiwa.
- Ni muda wa kuamuru nyakati njema zifuatane nasi Katika nyanja zote za MAISHA, siasa, uchumi,uvuvi,kilimo,ufugaji nk nk.
- Ni muda sasa wa kutawala, ufalme wa Mungu uonekane Katika siasa za nchi yetu, haki uonekane ikitendeka Ili machozi ya walioonewa yaweze kufutwa Tena..
Imebarikiwa sana Nyikani, Taifa la nyakati za mwisho Katika kuonyesha Dunia juu ya ufalme wa Mungu duniani.
Haya sasa , Simba amka ule mawindo yako yako tayari.
Aamin 🙏