MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,591
- 30,104
Nimeipenda sana hiyo mbinu, inabidi sasa kila familia inapojiandaa kwenda kulala wahakikishe ndani kuna maji yasiyopungua hata majagi mawili kwa ajili ya kujilinda na vibaka wavamizi........Pole sana mkuu Moto chini
We usiige japo nivizuri, hilojambo naamini limetokea kipindi cha Tindikali hivyo wao walidhani ni #Tindikali wakakimbia pia ujue kuna vibaka,wezi,na majambazi hawa wote nilengo moja staili yao tofaut.
Last edited by a moderator: