Mwanajeshi wa Israel atekwa na Hamas.

Mwanajeshi wa Israel atekwa na Hamas.

Status
Not open for further replies.

Polite

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,095
Reaction score
816
ha ha ha ha ha israel waoga sana.wanapigana huku wanatetemeka.uwezo wao unaishia kwenye mindege yao tu.Ground battle wanalia mpaka sasa.
 
Haya bana ikija swala kisasi mnasena Israel haina huruma.
 
Acha kudanganya watu kichapo kimewazidia unakuja kuleta mapovu Jf....!!!!
 
Haya bana ikija swala kisasi mnasena Israel haina huruma.

Aisee hamas ni noma,hivi wanawezaje kumkwapua mtu na kumtoa kwenye kifaru.ha ha ha ha
 
Acha kudanganya watu kichapo kimewazidia unakuja kuleta mapovu Jf....!!!!

ha ha ha ha israel sasa ni mbwa aliye jeruhiwa anang'atang'ta watu hovyo.
 
Kama ni kweli sipati picha jinsi mateso na kifo cha huyo mjeshi kitakavyokuwa
 
The conflict is turning a corner!. This war needs to stop.
 
Kama ni kweli sipati picha jinsi mateso na kifo cha huyo mjeshi kitakavyokuwa

Huyo hauliwi. Atabadilishwa na mateka mia wa Hamas waliopo jela za Israel. Siyo mateka ni bargaining chip.
 
EDDoM, kwa Hamas hakuna kitu kama hicho. There will be a prisoners swap with the state of Israel. May be 1500 Palestinians to 1 Jew.
 
Totally asymmetrical warfare. 500 Palestinians death againsts 15 Israels.
 
IDF wameanza kukanusha kwamba hakuna mwanajeshi wao aliyetekwa nyara.
 
Nothing to laugh at. Hutakiwi kuside na upande wowote. Watu wanakufa both sides. It is very sad. Innocent children are being kidnapped and killed. Kisa kisasi!!!
ha ha ha ha ha israel waoga sana.wanapigana huku wanatetemeka.uwezo wao unaishia kwenye mindege yao tu.Ground battle wanalia mpaka sasa.
 
Nothing to laugh at. Hutakiwi kuside na upande wowote. Watu wanakufa both sides. It is very sad. Innocent children are being kidnapped and killed. Kisa kisasi!!!
Tangu mgogoro umeanza na watu kushabikia, wewe ni mmoja kati ya watu wenye akili timamu saaanaa!!!

Big up mkuu Nguto
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom