Mwanajeshi wa Israel atekwa na Hamas.

Mwanajeshi wa Israel atekwa na Hamas.

Status
Not open for further replies.
Tatizo la matakfiri ndilo hilo yani wao wakiuawa wanalilia ila wao kiuwa basi wanafurahi
 
Israel imeonyesha uwezo mdogo kwa hamas kwani mpaka leo asubuhi bbc wamesema tayari wanajeshi 18 waisraeli wameuwawa kwenye uwanja wa mapambano. Ikumbukwe kuwa hamas wamewekewa vikwazo vya kuuziwa silaha tofauti na israeli. Hawa ni wanamgambo si jeshi. Kitu kingine hamas hawataki kuuwa raia waisaeli tofauti na israeli kwao ni sawa kuuwa raia au mwanamgambo hakuna tofauti. Katibu mkuu b.moon ameitaka israeli kukomesha mara mashambulizi yake ambayo yanatarget civilians.
 
Israel wil not give up untill they pay
 
ha ha ha ha ha israel waoga sana.wanapigana huku wanatetemeka.uwezo wao unaishia kwenye mindege yao tu.Ground battle wanalia mpaka sasa.

tatizo wanaogopa kufa kama wataishi milele,aibu sana
 
Israel imeonyesha uwezo mdogo kwa hamas kwani mpaka leo asubuhi bbc wamesema tayari wanajeshi 18 waisraeli wameuwawa kwenye uwanja wa mapambano. Ikumbukwe kuwa hamas wamewekewa vikwazo vya kuuziwa silaha tofauti na israeli. Hawa ni wanamgambo si jeshi. Kitu kingine hamas hawataki kuuwa raia waisaeli tofauti na israeli kwao ni sawa kuuwa raia au mwanamgambo hakuna tofauti. Katibu mkuu b.moon ameitaka israeli kukomesha mara mashambulizi yake ambayo yanatarget civilians.

Yale maroketi yanayorushwa Israel kumbe yana uwezo wa kutenganisha raia na wanajeshi! Kweli teknolojia imekua
 
Yale maroketi yanayorushwa Israel kumbe yana uwezo wa kutenganisha raia na wanajeshi! Kweli teknolojia imekua

israel wanalipua majumba watu wanafia humo,hamas wanapigana ana kwa ana wanawamaliza commandoo 18.
Wapalestina wanauawa wakiwa wamelala usingizi.
 
Aljazeera: 26 Israeli
soldiers injured , 4 out of
which are critical cases.
#Gaza
 
israel wanalipua majumba watu wanafia humo,hamas wanapigana ana kwa ana wanawamaliza commandoo 18.
Wapalestina wanauawa wakiwa wamelala usingizi.

Awe amekufa komandoo, raia wa kawaida au mwanajeshi wa kawaida hakuna cha kufurahia hawa ni binadamu.

Hatutakiwi kuchukua upande, hivi vifo vyote vinasababishwa na viongozi, raia wa Israel wa kawaida hawaungi mkono vita na wa Palestina wa kawaida pia hawaungi mkono mapigano maana wao ndio wanakuwa wahanga
 
Chezeeni kwingine siyo Israel, waulize waarabu wenzio yanayowakuta!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
chezeeni kwingine siyo israel, waulize waarabu wenzio yanayowakuta!!!!!


Sent from my iphone using jamiiforums app

aliyechezea nani na wakati watu wanadai uhuru wao? Si sawa tu na ilivyokuwa afrika kusini kipindi cha makaburu. Au umesahau mauaji sharpeville yaliyoytokea soweto? Wanadai nchi huru? Wewe upo dunia gani?
 
ha ha ha ha ha israel waoga sana.wanapigana huku wanatetemeka.uwezo wao unaishia kwenye mindege yao tu.Ground battle wanalia mpaka sasa.

Tatizo waislam mnachukua hii vita personal, mnaona sababu wamepigwa waarabu ni kama muddy ndio kapigwa. Palestine haina uwezo haina allies wenye uwezo hivyo kupigwa wao ni constant. Wamekuwa wakipigwa siku zote. Watu wanakimbia makazi huko Palestine umeona mtu kakimbia makazi Israel? Palestinians wanachakaa mengine ni kujifariji tu
 
tatizo la muisrael ni kwamba....! mkimuua wake mmoja anakuja kuua wenu 600

Sio tatizo ni ushenzi wao wamenteka askri vitani wayahudi washenzi wataua watoto nna wanawake .
Wamekaa kama malaya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom