Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Mwenyekiti wa Chadema Mr. Mbowe amesema akiwa Marekani kuwa Mwanaidi Majaar ambaye ni balozi wa Tanzania ni mmoja wa waanzilishi na wadhamini wa Chadema. Amemtaja pia Daudi Balali kuwa alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Washington.
Source: Chadema ni chama cha wote : Free Download & Streaming : Internet Archive
Source: Chadema ni chama cha wote : Free Download & Streaming : Internet Archive