Mwanahiphop ni nani?

Mwanahiphop ni nani?

Landrover 109

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
455
Reaction score
678
Mwanahiphop:

  1. Ni B Boy (Mvunjaji) anayevunja na kuharibu mazingira Hadi kiroho kila siku.
  2. Ni MC (Mchanaji) shujaa wa maneno ya kujenga kiroho na kiakili
  3. Ni Graffiti (Machata) anaefikiri na kukua kiroho ili aweze kuchora amani, upendo, umoja na furaha
  4. Ni DJ anayepeleka haki anaposcratch tunt a bles
  5. Ni beat boxer ambaye mwili wake unaemezea sanaa kupitia sauti yake ya ya mdundo kupitia mdomo
  6. Ni fashion, inayoficha hofu na aibu iliojificha katika jamii kandamizi
  7. Ni lugha ya mtaani yenye mafumbo na upendo isioeleweka kirahisi kwa watu wasioumiza akili
  8. Ni mjasiriamali anawakilisha utaalam wa namna ya kuikimbia umasikini kupitia uzoefu tunapopitia kila siku mitaani kutumia ujumbe wake.
Mdau wa hip-hop unaweza kuongezea.
 
Back
Top Bottom