Ndugu wana JF, mimi nilikuwa mnunuzi mzuri wa MWANAHALISI, lakini wiki hii limenitia kichefuchefu, kwamba Mh Zitto anawasiliana na wanausalama wa taifa hili?? Je kuwasiliana na mtu kuna tatizo.
SASA sitalinunua tena?? Mbona zitto wanamuandama sana, MWANAHALISI MNABOA SASA MMEKUA MAGAZETI YA UDAKU tunayajua yale ni magazeti ya uongo na ushabiki.
KWELI KAMA wanamtakia mema Zitto wakiulize chadema majibu watakayotoa ndo waandike. HUU NI UPUUUUUUUUUUUUZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ mtupu.
Andikeni na kero za mabarabara yetu basi, maana hata huo ufisadi tumesoma sana lakini hakuna wayforward hata kidogo.
SASA sitalinunua tena?? Mbona zitto wanamuandama sana, MWANAHALISI MNABOA SASA MMEKUA MAGAZETI YA UDAKU tunayajua yale ni magazeti ya uongo na ushabiki.
KWELI KAMA wanamtakia mema Zitto wakiulize chadema majibu watakayotoa ndo waandike. HUU NI UPUUUUUUUUUUUUZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ mtupu.
Andikeni na kero za mabarabara yetu basi, maana hata huo ufisadi tumesoma sana lakini hakuna wayforward hata kidogo.