manga mseke
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 470
- 90
Kwenye gazeti la mwanahalisi la leo jumatatu tarehe 7.12.2015 limeandika na kukashifu viongozi hawa wastaafu wa vyama vya CUF na CHADEMA kwa kuaita wasaliti wakubwa.
Maneno yaliondikwa kwenye gazeti lile kwa kweli hayavumiliki lugha chafu kusema msaliti mjinga ni lugha za kuudhi sana ikizingatia wale ni viongozi wastaafu wa vyama vya CHADEMA na CUF.
Kubenea ametumwa na viongozi wa CHADEMA kuwatukana?
Maneno yaliondikwa kwenye gazeti lile kwa kweli hayavumiliki lugha chafu kusema msaliti mjinga ni lugha za kuudhi sana ikizingatia wale ni viongozi wastaafu wa vyama vya CHADEMA na CUF.
Kubenea ametumwa na viongozi wa CHADEMA kuwatukana?