Mwanahabari huyu kanishangaza sana

Mwanahabari huyu kanishangaza sana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,643
Reaction score
164,790
Muda mfupi uliopia nilikuwa natazama kipindi cha "Jicho letu ndani ya habari" kinachorushwa na star tv.

Kama kawaida, kipindi hiki kilikuwa kinajadili namna magazeti yalivyoripoti habari za wiki nzima na kwa wiki hii mjadala mkubwa ulikuwa ni kuhusu kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa mama Tibaijuka na mwenzake Andrew Chenge.

Waalikwa katika kipindi hicho walikuwa ni mhariri Balile na mwanahabari Simon Simalenga kwa upande wa studio za Dar-es-salaam.Na kwa upande wa Mwanza, wageni walikuwa ni wanafunzi wawili wanaosomea uandishi wa habari katika chuo cha SAUT Mwanza.

Kauli ya mama Tibaijuka kuwa alitumia shilingi milioni 10 kununulia mboga ilichukua nafasi katika mazungumzo hayo kwani iliripotiwa sana na vyombo vya habari.

Ilipofika zamu ya mwandishi Simalenga kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kauli hiyo ya mama Tibaijuka,kwanza alianza kwa kurejea kauli za kejeli zilizopaswa kutolewa na viongozi wengine siku za nyuma ambapo aliitaja kauli ya Mramba kuwa hata watanzani wakila nyasi lazima ndege ya raisi lazima inunuliwe;kauli ya Andrew Chenge, kuwa mabilioni yale ni vijisenti na kauli hii mpya ya mama Tibaijuka.

Cha ajabu,alianza kwa kusema yeye huwa haamini maneno ya kusikia mpaka ashuhudie mwenyewe akimanisha kuwa haamimi kama kauli hizo ziliwahi kutolewa na viongozi hao.Huo ulikuwa ni kama utangulizi tu.

Aliponishangaza zaidi mwandishi huyu ni pale alipojaribu kuetetea kauli ya mama Tibaijuka kuwa, milioni 10 ilikuwa ni hela ya mboga tu kwa kusema "inawezekana hiyo milioni 10 mama Tibaijuka alitumia kununulia mboga kwa ajili ya shule anayomiliki".

Yaani hapa mwandishi huyu alikuwa anajaribu kutuambia kuwa, alichomanisha prof.Tibaijuka ni kuwa, milioni 10 zile labda alizitumia kununulia mboga kwa ajili ya wanafunzi wa shule yake na kwamba waandishi wenzake walitakiwa wachunguze kauli ile kabla ya kuiripoti tu kama ilivyotolewa.

Swali;
Je,inawezekana mwanahabari huyu yuko sahihi na kwamba waandishi wenzake walitakiwa kuifanyia utafiti kauli ile kwanza kabla ya kuiripoti?
 
Muda mfupi uliopia nilikuwa natazama kipindi cha "Jicho letu ndani ya habari" kinachorushwa na star tv.

Kama kawaida, kipindi hiki kilikuwa kinajadili namna magazeti yalivyoripoti habari za wiki nzima na kwa wiki hii mjadala mkubwa ulikuwa ni kuhusu kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa mama Tibaijuka na mwenzake Andrew Chenge.Waalikwa katika kipindi hicho walikuwa ni mhariri Balile na mwanahabari Simon Simalenga.

Kauli ya mama Tibaijuka kuwa alitumia shilingi milioni 10 kununulia mboga ilichukua nafasi katika mazungumzo hayo kwani iliripotiwa sana na vyombo vya habari.

Ilipofika zamu ya mwandishi Simalenga kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kauli hiyo ya mama Tibaijuka,kwanza alianza kwa kurejea kauli za kejeli zilizopaswa kutolewa na viongozi wengine siku za nyuma ambapo aliitaja kauli ya Mramba kuwa hata watanzani wakila nyasi lazima ndege ya raisi lazima inunuliwe;kauli ya Andrew Chenge, kuwa mabilioni yale ni vijisenti na kauli hii mpya ya mama Tibaijuka.

Cha ajabu,alianza kwa kusema yeye huwa haamini maneno ya kusikia mpaka ashuhudie mwenyewe akimanisha kuwa haamimi kama kauli hizo ziliwahi kutolewa na viongozi hao.Huo ulikuwa ni kama utangulizi tu.

Aliponishangaza zaidi mwandishi huyu ni pale alipojaribu kuetetea kauli ya mama Tibaijuka kuwa milioni 10 ilikuwa ni hela ya mboga tu kwa kusema "inawezekana hiyo milioni 10 mama Tibaijuka alitumia kununulia mboga kwa ajili ya shule anayomiliki".Yaani anajaribu kutuambia kuwa, alichomanisha prof.Tibaijuka ni kuwa milioni 10 zile labda alizitumia kununulia mboga kwa ajili ya wanafunzi wa shule yake na kwamba waandishi wenzake walitakiwa wachunguze kauli ile kabla ya kuiripoti tu kama ilibyoyolewa.

Swali;
Je,inawezekana mwanahabari huyu yuko sahihi na kwamba waandishi wenzake walitakiwa kuifanyia utafiti kauli ile kwanza kabla ya kuiripoti?

Mdomo Wake Tu Umekaa Kichuchunge Na Macho Yake Nayo Yamekaa Kisanii Sanii Je Wewe Ulitegemea Mbichwa Wake Utoe Madini Kama Ya Mtani Wangu Balile? Na Ili Kudhihirisha Kuwa Huyo Sina Malengo Ni POPOMA Unaambiwa Eti Yeye Ndiyo Afisa Uhusiano Wa Ile Redio Iliyouzwa Iitwayo Njia Ya Kwenda Mbinguni Na Nadhani Uliona Jinsi Balile Na Wale Wanafunzi Akina Mansoor Na Juma Walivyomdharau Na Kiukweli Leo Sina Malengo Ameumbuka Na Amejiaibisha. Huyo Ndiyo Mwanadiplomasia Wetu Siku Za Baadae.

Je Ulisikia Lile Dongo La Mwisho Ambalo Balile Alimtupia Sina Malengo? Siku Nyingine Akijua Kuwa Anakwenda Studio Halafu Mgeni Mwingine Ni Balile Awe Anachomoa Tu Kwani Napenda Mno Balile Alivyokuwa Akimdhihaki Kidiplomasia Kwa Mfano Kuna Sehemu Balile Alimwambia Kuwa Hicho Chuo Cha Diplomasia Unachosoma Wewe Sasa Mimi Nimesoma Hapo Miaka 11 Iliyopita. Hapo Sina Malengo Nilimwona Alivyonywea Kwani Kiuwezo Kumpambanisha Ktk Vipindi Vya Hoja Balile Na Sina Malengo Wa Mawingu Iliyouzwa Ni Sawa Na Kumpambanisha Daniel Sturridge Wa Liverpool FC Na Juma Javu Wa Yanga FC.
 
Mdomo Wake Tu Umekaa Kichuchunge Na Macho Yake Nayo Yamekaa Kisanii Sanii Je Wewe Ulitegemea Mbichwa Wake Utoe Madini Kama Ya Mtani Wangu Balile? Na Ili Kudhihirisha Kuwa Huyo Sina Malengo Ni POPOMA Unaambiwa Eti Yeye Ndiyo Afisa Uhusiano Wa Ile Redio Iliyouzwa Iitwayo Njia Ya Kwenda Mbinguni Na Nadhani Uliona Jinsi Balile Na Wale Wanafunzi Akina Mansoor Na Juma Walivyomdharau Na Kiukweli Leo Sina Malengo Ameumbuka Na Amejiaibisha. Huyo Ndiyo Mwanadiplomasia Wetu Siku Za Baadae.

Je Ulisikia Lile Dongo La Mwisho Ambalo Balile Alimtupia Sina Malengo? Siku Nyingine Akijua Kuwa Anakwenda Studio Halafu Mgeni Mwingine Ni Balile Awe Anachomoa Tu Kwani Napenda Mno Balile Alivyokuwa Akimdhihaki Kidiplomasia Kwa Mfano Kuna Sehemu Balile Alimwambia Kuwa Hicho Chuo Cha Diplomasia Unachosoma Wewe Sasa Mimi Nimesoma Hapo Miaka 11 Iliyopita. Hapo Sina Malengo Nilimwona Alivyonywea Kwani Kiuwezo Kumpambanisha Ktk Vipindi Vya Hoja Balile Na Sina Malengo Wa Mawingu Iliyouzwa Ni Sawa Na Kumpambanisha Daniel Sturridge Wa Liverpool FC Na Juma Javu Wa Yanga FC.

Jamaa nimemuona ni hopeless kabisa.

Waandishi wa aina hii ni janga kwa taifa.
 
Muda mfupi uliopia nilikuwa natazama kipindi cha "Jicho letu ndani ya habari" kinachorushwa na star tv.

Kama kawaida, kipindi hiki kilikuwa kinajadili namna magazeti yalivyoripoti habari za wiki nzima na kwa wiki hii mjadala mkubwa ulikuwa ni kuhusu kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa mama Tibaijuka na mwenzake Andrew Chenge.Waalikwa katika kipindi hicho walikuwa ni mhariri Balile na mwanahabari Simon Simalenga.

Kauli ya mama Tibaijuka kuwa alitumia shilingi milioni 10 kununulia mboga ilichukua nafasi katika mazungumzo hayo kwani iliripotiwa sana na vyombo vya habari.

Ilipofika zamu ya mwandishi Simalenga kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kauli hiyo ya mama Tibaijuka,kwanza alianza kwa kurejea kauli za kejeli zilizopaswa kutolewa na viongozi wengine siku za nyuma ambapo aliitaja kauli ya Mramba kuwa hata watanzani wakila nyasi lazima ndege ya raisi lazima inunuliwe;kauli ya Andrew Chenge, kuwa mabilioni yale ni vijisenti na kauli hii mpya ya mama Tibaijuka.

Cha ajabu,alianza kwa kusema yeye huwa haamini maneno ya kusikia mpaka ashuhudie mwenyewe akimanisha kuwa haamimi kama kauli hizo ziliwahi kutolewa na viongozi hao.Huo ulikuwa ni kama utangulizi tu.

Aliponishangaza zaidi mwandishi huyu ni pale alipojaribu kuetetea kauli ya mama Tibaijuka kuwa, milioni 10 ilikuwa ni hela ya mboga tu kwa kusema "inawezekana hiyo milioni 10 mama Tibaijuka alitumia kununulia mboga kwa ajili ya shule anayomiliki".

Yaani hapa mwandishi huyu alikuwa anajaribu kutuambia kuwa, alichomanisha prof.Tibaijuka ni kuwa, milioni 10 zile labda alizitumia kununulia mboga kwa ajili ya wanafunzi wa shule yake na kwamba waandishi wenzake walitakiwa wachunguze kauli ile kabla ya kuiripoti tu kama ilivyotolewa.

Swali;
Je,inawezekana mwanahabari huyu yuko sahihi na kwamba waandishi wenzake walitakiwa kuifanyia utafiti kauli ile kwanza kabla ya kuiripoti?
CC: Pasco
 
Last edited by a moderator:
Muda mfupi uliopia nilikuwa natazama kipindi cha "Jicho letu ndani ya habari" kinachorushwa na star tv.

Kama kawaida, kipindi hiki kilikuwa kinajadili namna magazeti yalivyoripoti habari za wiki nzima na kwa wiki hii mjadala mkubwa ulikuwa ni kuhusu kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa mama Tibaijuka na mwenzake Andrew Chenge.Waalikwa katika kipindi hicho walikuwa ni mhariri Balile na mwanahabari Simon Simalenga.

Kauli ya mama Tibaijuka kuwa alitumia shilingi milioni 10 kununulia mboga ilichukua nafasi katika mazungumzo hayo kwani iliripotiwa sana na vyombo vya habari.

Ilipofika zamu ya mwandishi Simalenga kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kauli hiyo ya mama Tibaijuka,kwanza alianza kwa kurejea kauli za kejeli zilizopaswa kutolewa na viongozi wengine siku za nyuma ambapo aliitaja kauli ya Mramba kuwa hata watanzani wakila nyasi lazima ndege ya raisi lazima inunuliwe;kauli ya Andrew Chenge, kuwa mabilioni yale ni vijisenti na kauli hii mpya ya mama Tibaijuka.

Cha ajabu,alianza kwa kusema yeye huwa haamini maneno ya kusikia mpaka ashuhudie mwenyewe akimanisha kuwa haamimi kama kauli hizo ziliwahi kutolewa na viongozi hao.Huo ulikuwa ni kama utangulizi tu.

Aliponishangaza zaidi mwandishi huyu ni pale alipojaribu kuetetea kauli ya mama Tibaijuka kuwa, milioni 10 ilikuwa ni hela ya mboga tu kwa kusema "inawezekana hiyo milioni 10 mama Tibaijuka alitumia kununulia mboga kwa ajili ya shule anayomiliki".

Yaani hapa mwandishi huyu alikuwa anajaribu kutuambia kuwa, alichomanisha prof.Tibaijuka ni kuwa, milioni 10 zile labda alizitumia kununulia mboga kwa ajili ya wanafunzi wa shule yake na kwamba waandishi wenzake walitakiwa wachunguze kauli ile kabla ya kuiripoti tu kama ilivyotolewa.

Swali;
Je,inawezekana mwanahabari huyu yuko sahihi na kwamba waandishi wenzake walitakiwa kuifanyia utafiti kauli ile kwanza kabla ya kuiripoti?
Uko sahihi, nimeweka post humu nikisema mtu wa CCM hawezi kuongea la maana kwa vile anaelekezwa namna ya kusema na atakalo lisema! He is not an independent thinker! anafundishwa afikiri vipi in line with CCM dictates! Huyo eti kesho awe kiongozi!!!!!!! Unaona kabisa kuwa upuuzi wa CCM umenjaa kichwani!
 
Kiswahili kinapendeza kama utaelezea kitu kwa lugha ya picha. Unapomshukuru mtu wa Iringa kwa msosi aliokupatia, atakujibu 'Ka mbwa kenyewe kalikuwa kadogo" haina maana amkulisha mbwa, anamaana uwezo wake katika kukukarimu ulikuwa mdogo angependa akukarimu kwa kikubwa na kizuri zaidi ya hicho.

Kadharika "Milioni 10 ni hela ya mboga" haimaanishi alinunua mboga, ni lugha ya picha. Ikimaanisha kwa kipato chake na hadhi yake millioni 10 ni hela ndogo sana kushikiwa bango. Ni juu yetu kuchanganua kama mtazamo wake ni sahihi?. Kuna watanzania wasio viongozi wanaotumia millioni kumi kwa matumizi ya kawaida ya siku?
 
Bado uteuzi wa wakuu wa Wilaya unaendelea, mwambie ajitahidi atapata!
 
huyo kichwani kweup,bora arudi aendelee kuigiza na kina mboto
Hata Balile na wale wanafunzi wanaosomea uandishi wa chuo cha SAUT nao walimshangaa sana na walianza kumshambulia ila Dotto Bulembo alikuwa akiwazuia wasimshambulie kutoka studio za Mwanza.
 
Kiswahili kinapendeza kama utaelezea kitu kwa lugha ya picha. Unapomshukuru mtu wa Iringa kwa msosi aliokupatia, atakujibu 'Ka mbwa kenyewe kalikuwa kadogo" haina maana amkulisha mbwa, anamaana uwezo wake katika kukukarimu ulikuwa mdogo angependa akukarimu kwa kikubwa na kizuri zaidi ya hicho.

Kadharika "Milioni 10 ni hela ya mboga" haimaanishi alinunua mboga, ni lugha ya picha. Ikimaanisha kwa kipato chake na hadhi yake millioni 10 ni hela ndogo sana kushikiwa bango. Ni juu yetu kuchanganua kama mtazamo wake ni sahihi?. Kuna watanzania wasio viongozi wanaotumia millioni kumi kwa matumizi ya kawaida ya siku?

Hiyo kauli ni kejeli na ni bora ikatolewa na mtu wa kawaida lakini sio kiongozi wa umma tena mbele ya tume ya maadili.

Huyu mwandishi nadhani ni miongoni mwa wale waandishi wanaotumika.
 
Ukisikia wandishi Makanjanja ndio kama wao tv imenunuliwa namafisadi wandishi wamenunuliwa namafisadi nchi yaukanjanja ukanjanja tuu
 
Muda mfupi uliopia nilikuwa natazama kipindi cha "Jicho letu ndani ya habari" kinachorushwa na star tv.

Kama kawaida, kipindi hiki kilikuwa kinajadili namna magazeti yalivyoripoti habari za wiki nzima na kwa wiki hii mjadala mkubwa ulikuwa ni kuhusu kuhojiwa na Tume ya Maadili kwa mama Tibaijuka na mwenzake Andrew Chenge.Waalikwa katika kipindi hicho walikuwa ni mhariri Balile na mwanahabari Simon Simalenga.

Kauli ya mama Tibaijuka kuwa alitumia shilingi milioni 10 kununulia mboga ilichukua nafasi katika mazungumzo hayo kwani iliripotiwa sana na vyombo vya habari.

Ilipofika zamu ya mwandishi Simalenga kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kauli hiyo ya mama Tibaijuka,kwanza alianza kwa kurejea kauli za kejeli zilizopaswa kutolewa na viongozi wengine siku za nyuma ambapo aliitaja kauli ya Mramba kuwa hata watanzani wakila nyasi lazima ndege ya raisi lazima inunuliwe;kauli ya Andrew Chenge, kuwa mabilioni yale ni vijisenti na kauli hii mpya ya mama Tibaijuka.

Cha ajabu,alianza kwa kusema yeye huwa haamini maneno ya kusikia mpaka ashuhudie mwenyewe akimanisha kuwa haamimi kama kauli hizo ziliwahi kutolewa na viongozi hao.Huo ulikuwa ni kama utangulizi tu.

Aliponishangaza zaidi mwandishi huyu ni pale alipojaribu kuetetea kauli ya mama Tibaijuka kuwa, milioni 10 ilikuwa ni hela ya mboga tu kwa kusema "inawezekana hiyo milioni 10 mama Tibaijuka alitumia kununulia mboga kwa ajili ya shule anayomiliki".

Yaani hapa mwandishi huyu alikuwa anajaribu kutuambia kuwa, alichomanisha prof.Tibaijuka ni kuwa, milioni 10 zile labda alizitumia kununulia mboga kwa ajili ya wanafunzi wa shule yake na kwamba waandishi wenzake walitakiwa wachunguze kauli ile kabla ya kuiripoti tu kama ilivyotolewa.

Swali;
Je,inawezekana mwanahabari huyu yuko sahihi na kwamba waandishi wenzake walitakiwa kuifanyia utafiti kauli ile kwanza kabla ya kuiripoti?
Mkuu kuna waandishi wa habari mataahira au wamenunuliwa na wanasiasa.
Mchunguze sana huyo mwandishi na utagundua hilo.
 
Kiswahili kinapendeza kama utaelezea kitu kwa lugha ya picha. Unapomshukuru mtu wa Iringa kwa msosi aliokupatia, atakujibu 'Ka mbwa kenyewe kalikuwa kadogo" haina maana amkulisha mbwa, anamaana uwezo wake katika kukukarimu ulikuwa mdogo angependa akukarimu kwa kikubwa na kizuri zaidi ya hicho.

Kadharika "Milioni 10 ni hela ya mboga" haimaanishi alinunua mboga, ni lugha ya picha. Ikimaanisha kwa kipato chake na hadhi yake millioni 10 ni hela ndogo sana kushikiwa bango. Ni juu yetu kuchanganua kama mtazamo wake ni sahihi?. Kuna watanzania wasio viongozi wanaotumia millioni kumi kwa matumizi ya kawaida ya siku?

Moja ya kanuni ya mawasiliano/mazungumzo ni kujua:
Unazungumza na nini
Unazungumza na nani
Unazungumza wakati gani
Unazungumza mahali gani
......
Katika muktadha wa hali ya umasikini mkubwa walionao watz wanaotegemea viongozi wao watumie rasilimali za nchi kuwainua kiuchumi...kauli ya Tibaijuka ni KEJELI na MATUSI kwa wananchi.
Ni kweli kwa kipato chake hakukosea kuamini hivyo ila amekosea kuiambia jamii anayoiongoza ambayo sehemu kubwa matumizi ya familia kwa siku haizidi shilingi 1,800/=
 
Nilimdharau pia. Niliwahi kuandika hapa juu ya mwigizaji huyu. Tatizo la kuna Angalieni ni kuleta studio watu ambao tayari akili zimefinyangwa. Halafu anapojiita yeye ni mwanahabari amefanya kazi hiyo kwa muda gani? Tunamjua kama mwigizaji kwa muda mrefu tu. Huyu na wale wenzake wasanii wanaoitwa kupigia debe katiba mpya kura ya ndiyo hawana tofauti. Wanatafuta hisani tu sasa. Muda umeisha wa kujipendekeza
 
Hayo ni makosa ya Star TV. Huwezi kuleta mjadala mkubwa unaogusa jamii halafu ukaalika watu wenye uelewa finyu wa mambo kujadili kama huyo Simalenga. Alichokisema Simalenga ndio mwisho wa uwezo wake katika kuchambua unategemea nini zaidi? Kama kituo cha TV kinachotazamwa na watu wengi tena wengine wenye uelewa mkubwa lazima utafute Watu Bora wa kujadili sio bora watu, maana nia ya kupata majawabu ya kusudio yatapotea kabisa.
Mfano unaleta mada "Kwa nini Tanzania pamoja na rasilimali ilizo nazo bado inaendelea kuwa masikini?" Halafu wachangiaji wa mada hiyo unamuweka Nape Nnauye au Livingstone Lusinde unategemea kupata nini zaidi ya kuharibika kwa mjadala? Star TV wanapaswa kuliangalia hilo maana wamekuwa na tabia hiyo mara nyingi sana ya kuleta mada ya msingi ila watu wasio kidhi vigezo kujadili.
 
Hayo ni makosa ya Star TV. Huwezi kuleta mjadala mkubwa unaogusa jamii halafu ukaalika watu wenye uelewa finyu wa mambo kujadili kama huyo Simalenga. Alichokisema Simalenga ndio mwisho wa uwezo wake katika kuchambua unategemea nini zaidi? Kama kituo cha TV kinachotazamwa na watu wengi tena wengine wenye uelewa mkubwa lazima utafute Watu Bora wa kujadili sio bora watu, maana nia ya kupata majawabu ya kusudio yatapotea kabisa.
Mfano unaleta mada "Kwa nini Tanzania pamoja na rasilimali ilizo nazo bado inaendelea kuwa masikini?" Halafu wachangiaji wa mada hiyo unamuweka Nape Nnauye au Livingstone Lusinde unategemea kupata nini zaidi ya kuharibika kwa mjadala? Star TV wanapaswa kuliangalia hilo maana wamekuwa na tabia hiyo mara nyingi sana ya kuleta mada ya msingi ila watu wasio kidhi vigezo kujadili.

Message sent mkuu.
 
Back
Top Bottom