Mwanafunzi Mtanzania alieko Delhi anipokee!

Maberere

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
316
93
Habarini!

Naomba mtanzania yeyote anayesoma Delhi anisaidie mana niko kwenye mchakato wa kuja huko nmepata scholarship lakini sina pakufikia na chuo nilichokuwa admitted hakina hostel naomba anipm tuongee.
 
Hongera mkuu kwa kupata scholarship.

Lakini mkuu ombi lako mbona limekosa taarifa za muhimu...kama Chuo ulichokuwa admitted which will determine ypur location in Delhi and therefore location ya best person wa kukusaidia? Pia hakuna indicative dates za wewe kufika huko lakini pia ungegusia preference yako ya aina ya accommodation unayotaka na hata kama uko flexible kwenye hilo unatakiwa useme wazi. How about your budget for accommodation? Jisaidie ili uweze kusaidiwa appropriately. Bila details kama hizi na nyinginezo utasaidiwaje sasa?

Daaah...anyways haya mkuu. Kila la kheri na nisamehe kama nimekuwa unreasonably hard kwako.
 
Hongera mkuu kwa kupata scholarship.

Lakini mkuu ombi lako mbona limekosa taarifa za muhimu...kama Chuo ulichokuwa admitted which will determine ypur location in Delhi and therefore location ya best person wa kukusaidia? Pia hakuna indicative dates za wewe kufika huko lakini pia ungegusia preference yako ya aina ya accommodation unayotaka na hata kama uko flexible kwenye hilo unatakiwa useme wazi. How about your budget for accommodation? Jisaidie ili uweze kusaidiwa appropriately. Bila details kama hizi na nyinginezo utasaidiwaje sasa?

Daaah...anyways haya mkuu. Kila la kheri na nisamehe kama nimekuwa unreasonably hard kwako.
Asante mkuu!
Chuo ni Teri university, suala la accommodation niko flexible ila iwe karibu na chuo kuhusu budget rs5000, nategemea kwenda tarehe 20 mwezi wa saba,2016.
 
Asante mkuu!
Chuo ni Teri university, suala la accommodation niko flexible ila iwe karibu na chuo kuhusu budget rs5000, nategemea kwenda tarehe 20 mwezi wa saba,2016.
Rs. 5000 ni pesa ndogo sana kwa mji kama New Delhi. Kwanza nikushauri utafute mwenyeji haraka sana na serious. Wahindi ni wabaguzi sana japo sisi tumewaweka posta na Kariakoo. Mswahili kupangishwa nyumba sio kitu kidogo na rahisi kama hapa nyumbani!

Kama ni wakiume nakutahadharisha kabisa kuwa mbali na mabinti wa kihindi. Wahindi hawapendi ku-share mapenzi na strangers au maskini. Wakigundua hawaoni hatari kukuua! Subiri binti ajipendekeze mwenyewe na uwe mwangalifu. Mapenzi holela ni hapa bongo tu. Vijana wa India ukitembea na dada zao wanahisi kama unawafanya wao. Hivyo hawakukawizi. Tafuta mwenyeji.
 
Habarini!

Naomba mtanzania yeyote anayesoma Delhi anisaidie mana niko kwenye mchakato wa kuja huko nmepata scholarship lakini sina pakufikia na chuo nilichokuwa admitted hakina hostel naomba anipm tuongee.

Taja shule ulizosoma kuanzia primary,sekondary na miaka uliyomaliza Unaweza pata mliosoma nao unaowajua vizuri wako India..sI LAZIMA uweke jina.Weka tu nilisoma hapa mwaka huu na ule
 
Rs. 5000 ni pesa ndogo sana kwa mji kama New Delhi. Kwanza nikushauri utafute mwenyeji haraka sana na serious. Wahindi ni wabaguzi sana japo sisi tumewaweka posta na Kariakoo. Mswahili kupangishwa nyumba sio kitu kidogo na rahisi kama hapa nyumbani!

Kama ni wakiume nakutahadharisha kabisa kuwa mbali na mabinti wa kihindi. Wahindi hawapendi ku-share mapenzi na strangers au maskini. Wakigundua hawaoni hatari kukuua! Subiri binti ajipendekeze mwenyewe na uwe mwangalifu. Mapenzi holela ni hapa bongo tu. Vijana wa India ukitembea na dada zao wanahisi kama unawafanya wao. Hivyo hawakukawizi. Tafuta mwenyeji.
asante mkuu Goodluck Mshana ndo niko kwenye mchakato wa kumpata mtu ambaye atakuwa mwenyeji wangu huko, asante sana kwa ushauri wako, je kwa allowance ya Rs23, 000/= kwa mwezi inatosha kuendesha maisha nikiwa huko delhi.?
 
inr 23,000 inatosha kuendesha maisha kabisa..

kabda uwe mtu wa starehe sana.... hiyo ni almost usd 400 na zaidi..

binafsi nimeishi hydrabad maisha cheap sana..

ila kuna demu wa kihindi alitaka niletea seke seke.. alikuwa ananipenda sana.. alikuja gheto kunipikia weekend land lord nae alikuja siku hiyo akamuona..

na akanifata ni kunieleza ukweli wahindi wakijua natoka na dada yao wataniua.. na akamwambia yule binti awe makini asije nisababishia matatizo kijana wa watu na hata yeye landlord

toka siku hiyo akawa haji gheto kizembe zembe..

na huyo sister wa kihindi yupo aga khan nairobi now anafanya kazi... angalau huku africa tulikula bata bila uoga uoga
 
Rs. 5000 ni pesa ndogo sana kwa mji kama New Delhi. Kwanza nikushauri utafute mwenyeji haraka sana na serious. Wahindi ni wabaguzi sana japo sisi tumewaweka posta na Kariakoo. Mswahili kupangishwa nyumba sio kitu kidogo na rahisi kama hapa nyumbani!

Kama ni wakiume nakutahadharisha kabisa kuwa mbali na mabinti wa kihindi. Wahindi hawapendi ku-share mapenzi na strangers au maskini. Wakigundua hawaoni hatari kukuua! Subiri binti ajipendekeze mwenyewe na uwe mwangalifu. Mapenzi holela ni hapa bongo tu. Vijana wa India ukitembea na dada zao wanahisi kama unawafanya wao. Hivyo hawakukawizi. Tafuta mwenyeji.
Lakini madada zao rahisi kutongozeka au na wao wagumu mkuu??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom