Mwanafunzi CBE ajiua kisa mapenzi

Mwanafunzi CBE ajiua kisa mapenzi

Duuh HV karne hii kuna hayo mapz kweli, yaani nijiue kisa ngono hapana kwa kweli
 
hivi kwa nyomi hili la madem niji ue alafu nani awatomb.e??
wanawake wapo wengi na wapo ili tuwatumie huyo alojiua ni mshamba tuu.
Halafu shija ni wasukuma na ndo washamba kwenye haya mambo
 
Shija ni mshamba. Alizaliwa nae huyo mpenzi wake?
 
Siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa kuwa mwanafunzi Shija wa Chuo cha Biashara CBE Dar es salaam amefariki kutokana na ugomvi wa mapenzi na ikadaiwa kuwa alirushwa kutoka gorofani kwenye Hostel baada ya kutokea ugomvi huo.

Mkuu wa Chuo hicho Profesa Emmanuel Mjema ambaye ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea katika hosteli binafsi maeneo ya Ilala na sio katika hosteli ya chuo kama ilivyokuwa ikizungumzwa kwenye mitandao ya kijamii.

Profesa Mjema ameeleza kuwa Marehemu anayetambulika kwa jina la Shija alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi mwenzake na siku ya tukio alikwenda kumtembelea na kumkuta akiwa na Mwanaume mwingine.

Baada ya kuwakuta ugomvi uliibuka na kupelekea Shija kujirusha mwenyewe kutoka ghorofani na kufikwa na mauti.
basi hapo eti mwanamke atajifnya kulia mnoo mpka kuzimia msibani ..wakati amechangia kusbabisha mauti ya Jamaa ...sasa kma huwa mnamipngo yakujiuwa kwanni huwa mnasoma lakini ..mnamaliza Pesa bure tu
 
Nimehuzunika sn juu ya hiko kifo.kwa sababu baba wa marehem ni mfanya biashara mwezangu,apa k/koo.rip SHIJA.
Ushauri kwa vijana wezangu.MWISHO WA JAMBO NI MWANZO WA JAMBO LINGINE ZURI ZAIDI.
 
Mapenzi yanaumiza ila ukiona imefikia hatua yakujirestisha in peace basi ni umbulula.
 
Wanawake wa Dar Nendeni nao taratibu ktk mapenzi hawa wanaume wa mkoani la sivyo mtawamaliza
 
Siwezi kujiua kwa sababu ya wivu wa mapenzi hata kama nimependa kuliko tukuka.

Siwezi
 
Siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa kuwa mwanafunzi Shija wa Chuo cha Biashara CBE Dar es salaam amefariki kutokana na ugomvi wa mapenzi na ikadaiwa kuwa alirushwa kutoka gorofani kwenye Hostel baada ya kutokea ugomvi huo.

Mkuu wa Chuo hicho Profesa Emmanuel Mjema ambaye ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea katika hosteli binafsi maeneo ya Ilala na sio katika hosteli ya chuo kama ilivyokuwa ikizungumzwa kwenye mitandao ya kijamii.

Profesa Mjema ameeleza kuwa Marehemu anayetambulika kwa jina la Shija alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi mwenzake na siku ya tukio alikwenda kumtembelea na kumkuta akiwa na Mwanaume mwingine.

Baada ya kuwakuta ugomvi uliibuka na kupelekea Shija kujirusha mwenyewe kutoka ghorofani na kufikwa na mauti.

Ukisikiliza alichoongea Profesa na kilichoandikwa ni tofauti, Profesa alisema waachiwe polisi wafanye uchunguzi yeye hajui kama alisukumwa au alijirusha japo mitandaoni kuna semwa mengi sana.

Wabongo tumeamua kumlisha maneno Prof.
 
Wasije wakawa wamemrusha wanasema alijirusha mwenyewe

Pumzika kwa Amani shija huku mbebez wako anakula mautam ila kama umejiua pole yako
Alitumwa na wazaz wake chuo kikuu kusoma au kuendekeza ngono na zinaa,,upumbavu wake ndio umempeleka huko ,unajitosa kisa mwanamke wakati unaweza kua nawe na akawa analiwa na watu zaidi ya wanne ,vijana wa sasa tutaangamia kwa kukosa maarifa asee
 
Ujiue alafu ukaishi salama peponi...msimpe moyo marehem fala huyo...fii nari jahannam...ameidhulumu nafc yake
Habari niliyoipata jana ni kwamba Marehemu alisukumwa.

Sasa sijui ni kipi kinachoendelea.

Kingine,

Kiongozi punguza maneno makali, kumbuka huyo ni MAREHEMU.

Je Mimi na Wewe tunaijua hatma yetu?

Na je angekuwa Mtu wako wa karibu, au Rafiki yako, au Ndugu yako, ungeweza kuporomosha maneno mazito kama hayo?

Ukweli wa KIFO chake Mimi na Wewe hatufahamu, maana yanasemwa mengi.

Kwahiyo mambo usiyoyajua, au usiyokuwa na uhakika nayo ni bora kukausha kuliko kuponda, au kuporomosha maneno mazito kama hayo ya kwako.

Jifunze kuwa Mstaarabu, itakusaidia katika MAISHA yako
 
alijiua au kauawa??

kama aliuawa Mwenyezi amrehemu ila kama alijiua basi kaitia hasara ya bure familia yake..
 
Jamaa inaonekana bado alikuwa mwanafunzi wa hii fani ya mapenzi, hakuna faida aliyoipata sana sana kamuachia sifa za majigambo mwanamke, "Enzi zangu nilikuwa natisha watu walikuwa wananigombea, kuna mwanaume alijiua kwa ajili yangu..."
 
Huyo shija hajawaonea huruma wazazi wake wanaomsomesha!
 
Back
Top Bottom