Umeshatamani waliokufa wewe mtuDuuuuuh frustration na Depression ni mbayaa mnooo
RIP kaka mzuri.
Si unaona kaandija majivu yakazikwe Us
Shule gani hiyo?? Mbona haijatajwa?Nini kilifanya aje kusoma huku?
Wenzie tunaona bonge la shule yeye anaona kama kifungoni
Hadi nimechekaKUMEKUCHA! View attachment 2356007
Umemalizaaaaaa???? MxieeeeeeeewMtu kajiua unasema rest in peace wewe kama sio mfuasi wa mudi basi ni mfuasi wa kanisa linaloruhusu unywaji wa pombe hata kanisani
Ndyooo nimemtamani huyo kaka aliyejiua. Vipi una jingne???Umeshatamani waliokufa wewe mtu
Kuwa State sio kwamba ni lazima awe na mpunga mazee...Ukute hapo mwenye Bastola kamtandika Tu Risasi kisha akaandika maneno hayo ili abakiwe na Mali labda ambazo dogo anazo. Maana kama mshua yupo state ina maana dogo ana mpunga
Ya kawaida sana chief.Hiyo pistol yenyewe ni ya viwango vya juu. Sio kama bastola hizi za uchochoroni zinazotumiwa na wengi mara made in India. Glock ni very reliable
Mtu kajiua unasema rest in peace wewe kama sio mfuasi wa mudi basi ni mfuasi wa kanisa linaloruhusu unywaji wa pombe hata kanisani
RIP wanakusudia rest in peace au sio?.Sio huwa tunawaombea maiti wetu maghfira ili wasamehewe yale waliokosea .Kwa sababu tunaamini hata ukiwa mcha Mungu vipi basi utamkosea Mungu kwa mambo ambayo hukukusudia.Hatusemi apumzike kwa amani.Amani ya kweli ni baada ya hukumu iwapo mtu ataipata.Mudi ndio nini? Sikiliza mzee, kama ndio unafikiri uislamu umetutaka tutamke hayo maneno ya R.I.P umechemka mzee, uisilamu haujatufundisha kutamka hilo neno la kipumbafu. Sio kwamba waislamu hawapo wanaolitamka neno hilo, wapo baadhi wanalitamka na sidhani kama linaswihi, sheikh wangu Ami atanisaidia hilo.
Achana na matumizi ya cannabisKUMEKUCHA! View attachment 2356007
RIP wanakusudia rest in peace au?
Ukute hapo mwenye Bastola kamtandika Tu Risasi kisha akaandika maneno hayo ili abakiwe na Mali labda ambazo dogo anazo. Maana kama mshua yupo state ina maana dogo ana mpunga
Mtoa mada kaandika dogo kaacha ujumbe majivu yake yazikwe karibu ya kaburi la baba yake huko USA. Huyu baba mwingine tajiri wa US umemtoa wapi?
Mkuu kumekuchaaKUMEKUCHA! View attachment 2356007
Uko romantic hadi natamani hiyo avatar ndo ungekua wewe kweli kweli😋Ni mzuri tyuuh.
Mudi ndio nini? Sikiliza mzee, kama ndio unafikiri uislamu umetutaka tutamke hayo maneno ya R.I.P umechemka mzee, uisilamu haujatufundisha kutamka hilo neno la kipumbafu. Sio kwamba waislamu hawapo wanaolitamka neno hilo, wapo baadhi wanalitamka na sidhani kama linaswihi, sheikh wangu Ami atanisaidia hilo.